sijaona tatizo la Jussa, hana tofauti na lissu na Mnyika
Wanachoongea ni kitu chama maana sana kwa mustakabali wa Taifa
Tunahitaji serikali ya Tatu, hatutaki serikali inayo oppress wazenj hata kidogo..
United against oppression and oppressors all over the world.
Wanachoongea ni kitu chama maana sana kwa mustakabali wa Taifa
Tunahitaji serikali ya Tatu, hatutaki serikali inayo oppress wazenj hata kidogo..
United against oppression and oppressors all over the world.