Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,087
- 6,392
Mimi ni Haluwa nina Utamu wa Kuzaliwa.
Hebu waulize hao wanaume,wanafata nini kwangu....
na utamu wako naujua....hausimuliki...ndio maana nakua mkali
Mimi ni Haluwa nina Utamu wa Kuzaliwa.
Hebu waulize hao wanaume,wanafata nini kwangu....
hawaraaaaa?¿
Madame B hapa tutakosana bure na mwanaume mwenyewe
anavuta usingizi kwingine.
Madame B ni haluwa ya nafsi yangu....sijakutana nae barabarani.. Mr Rocky anajua hiliVin Diesel kama hivyo kwa hiyo Madame B ni nani.
charminglady ni namba moja na wengine watafuatia kwa mbaliiiiii.....na mchakato ulishafungwa kitambo.
game overrrrr
Mungi kuna maneno inaendelea huku eti Vin Diesel akiona tuu mguu wa Lily Flower mambo yanabadilika Mamndenyi jipe moyo hapa una mume haswa na hapo kashaanza kukatamani katoto sharifaa wakati hata hakajakaguliwa Dr. zero umeona eehhh huyo jamaa ni weka mbali na watoto na mke maana hafai kabisa aise
Mr Rocky anajua sana kuharibia wenzake majina....hajui hata tumetokea wapi....Jamani huku ni kuchafuliana CV Mr Rocky leo umemuamkia Vin Diesel.
usistuke...ni neno tu la kiswahili...
weweeeee... Lily Flower is just a friend....she is more than close to me....
Jamani huku ni kuchafuliana CV Mr Rocky leo umemuamkia Vin Diesel.
Vin Diesel hebu rudisha satellite yako huko kwenye majibu yako ya mwanzo aise uone ulichoandika au ulifuta Mamndenyi na Lily Flower wasioneMr Rocky anajua sana kuharibia wenzake majina....hajui hata tumetokea wapi....
ningeshangaa hayo mapenzi ya kwenda kununua kwa sangoma si balaa hiyo!
Kwa nini unataka kumpasua kichwa Wifi yangu kipenzi Mamndenyi?
hilo najua na najua kuw ana Mamndenyi anajua hilo halina ubishi hivyo Mamndenyi asiwe na wasi wasi akukuona na Madame B
mhhh Lily Flower hayo maneno kayasema mwenyewe Vin Diesel kuwa akikuona tuu mambo yanaharibika sio ya kwangu aise na wala sijakuchafulia CV
Vin Diesel hebu rudisha satellite yako huko kwenye majibu yako ya mwanzo aise uone ulichoandika au ulifuta Mamndenyi na Lily Flower wasione
Nami nimekukosa sana shogaangu, yaan tangu mwaka jana hatujatia machoni lolest!!!!! Tumeet ths weekend aiseeee.......