TANGAZO ZITO: Mwenyekiti Baba V nimerudi

TANGAZO ZITO: Mwenyekiti Baba V nimerudi

Baba V

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
19,479
Reaction score
9,550
Si kama ujio gesi pande za mtwara, nakuja kama sijui nani vile nakuja kama nani kirusi, Baada ya kukaa selo kwa muda usiovumilika hatimaye I'm out. Sijui nianzie wapi ila:
i. Kesho jumatano tarehe 16 Slave na Evelyn Salt ndani ya ndoa itakayofungwa kanisa la watakavitu wote saa tisa alasiri.

ii. mary hunbig na stevoh nataka hati zenu za muungano mezani kwangu kesho asubuhi na mapema nizipitie upya

iii. Mungi ulete maelezo ya kina juu ya kashfa yako ya kimahusiano na mtoto wa under 18 sharifaa ,unataka upate brain concusion eeh!

iv. Chimbuvu na Madame B nahitaji maelezo ya kina juv ya mustakabali wa ndoa yenu na uhusika wa Chibolo na Arushaone kwenye mimba ya Madame B.

v. Mamndenyi na Vin Diesel nahitaji kuona hati zenu za maridhiano kabla sijabatilisha ndoa yenu kutokana na nyendo za Vin Diesel

vi. ummu kulthum uje privately uthibitishe tuhuma zako na udhalilishaji juu yangu
vii. Globu nahitaji nyaraka za utetezi wako kwa nini usiondolewe jukwaa la utambulisho baada ya uzushi uliomfanyia Evelyn Salt.

viii. amu lete maelezo kwa nini uligoma kunifariji japo kwa nusu saa uliyokuja selo, na mzungu mndali kwa nini umeondoka bila kuniaga!???
ix. Jacaranda ndo kwetu unajua kosa lako


Ntaendelea kesho na wengine, kwa leo niacheni nikaoge baharini usiku huu kama nilivyoshauriwa na mganga ili nisipatwe tena na ban.

ONYO: Kwa wale jamii ya C.T.U na Amsterdam Don't dance and chit chat, this is another fire (msicheze na chit chat , huu ni moto mwingine)

Cc. Erickb52 , Mentor, Dr.zero Mr Rocky , Slave, Dena Amsi, nitonye, Bishanga , watu8
 
Last edited by a moderator:
Naomba nisiongee chochote na wewe Baba V hadi ukitoka baharini!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Karibu tena mwenyekiti!!
Mimi na stevoh tulikuwa tukikungoja kwa hamu!!
 
Last edited by a moderator:
Khaa, kama cha Kwanza hyo haraka Baba V!
 
Last edited by a moderator:
welcome back maana nahitaji mume humu hata wa no strings attached sio mbayaaaaa,ni kama sionekani na watu nisaidie aisee,ila ukitoka kuoga ndio uje unisaidie
 
Hujanambia ulikuwa wapi hadi Bishanga anaomba wa kum boost hapa jamvini. Maelezo yako kurasa tano. Font iwe Times New Roman, size 12

yale matunda nliyokuletea umeyamaliza?
 
Last edited by a moderator:
Muendelezo wako wa kesho usisahau kunipongeza kwa utiifu na heshima ninaoendelea kuuonesha kwenye ndoa yangu na marejesho.
Pole sana na karibu tena!
 
Last edited by a moderator:
Badili jina, liwe hata Irene, Jackline au Maureen uone kama hawato jitokeza. Na avatar weka nzuri kama vile ya jokate
welcome back maana nahitaji mume humu hata wa no strings attached sio mbayaaaaa,ni kama sionekani na watu nisaidie aisee,ila ukitoka kuoga ndio uje unisaidie
 
Suala la mimba ya Madame B liachwe mpaka atakapojifungua then mabwana zake wote tukapime DNA kujua uhalali wa mwenye mtoto. Tumeelewana Chairman Baba V? Baada ya hayo pole kwa BAN, koma kwenda siasani kama una nyongo. NIMEMALIZA.
 
Last edited by a moderator:
Yaani maelezo yako Baba V yanathibitisha tulikuwa wote muda wote humu!!
 
Last edited by a moderator:
Suala la mimba ya Madame B liachwe mpaka atakapojifungua then mabwana zake wote tukapime DNA kujua uhalali wa mwenye mtoto. Tumeelewana Chairman Baba V? Baada ya hayo pole kwa BAN, koma kwenda siasani kama una nyongo. NIMEMALIZA.

Mme wangu.
Sasa endapo mimba itakuwa ya Chibolo,utaniacha?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom