TANGAZO ZITO: Mwenyekiti Baba V nimerudi

TANGAZO ZITO: Mwenyekiti Baba V nimerudi

Hizi post zilizopitwa na muda zinatuchanganya! Mfano hapa!
Inshort mi hata sijui mustaqbali wa Baba V , kama yuko exile au ni vipi !
Jamvini simuoni, aidha pamoja na B52 sijui nae yu'wapi !
 
Last edited by a moderator:
Hizi post zilizopitwa na muda zinatuchanganya! Mfano hapa!
Inshort mi hata sijui mustaqbali wa Baba V , kama yuko exile au ni vipi !
Jamvini simuoni, aidha pamoja na B52 sijui nae yu'wapi !

hii ilikuwa ban ya kwanza sasa karudi huko lakini tunaye kimwili
 
Last edited by a moderator:
hii ilikuwa ban ya kwanza sasa karudi huko lakini tunaye kimwili

Hee kumbe ni hayo! Ban za humu nao deiz shughuli , nna hisi huku tuendako itakujafika mtu kakuamkia shkamoo, na usipoitikia mar'haba unakula ban!
 
Back
Top Bottom