TANGAZO ZITO: Mwenyekiti Baba V nimerudi

TANGAZO ZITO: Mwenyekiti Baba V nimerudi

Mungi kuna maneno inaendelea huku eti Vin Diesel akiona tuu mguu wa Lily Flower mambo yanabadilika Mamndenyi jipe moyo hapa una mume haswa na hapo kashaanza kukatamani katoto sharifaa wakati hata hakajakaguliwa Dr. zero umeona eehhh huyo jamaa ni weka mbali na watoto na mke maana hafai kabisa aise
 
Last edited by a moderator:
Mungi kuna maneno inaendelea huku eti Vin Diesel akiona tuu mguu wa Lily Flower mambo yanabadilika Mamndenyi jipe moyo hapa una mume haswa na hapo kashaanza kukatamani katoto sharifaa wakati hata hakajakaguliwa Dr. zero umeona eehhh huyo jamaa ni weka mbali na watoto na mke maana hafai kabisa aise
Mkuu Mr Rocky...nimeshapiga marufuku watu kutajataja jina la Lily Flower maana linanipa mambo fulani hivi nayajua mwenyewe... Mamndenyi ndio mama mwenye nyumba na pale nimefika...huyu mtoto sharifaa anatakiwa aje akae na sie ili wakati Mamndenyi anaenda shamba amuache ndani akifanya usafi....
 
Last edited by a moderator:
Nimekwambia Sh 80,000/= namba yangu ya Tigo Pesa si unayo?
Tuma Laki,elfu 20 ya kuchukulia kwa Wakala.

Hicho kiatu cha 80,000 hakitakutegua mguu....nipe size yako nitakuchukulia nje....narudi tar 24
 
Back
Top Bottom