Tanga Sirudi Tena...

Tanga Sirudi Tena...

huyu kijana hajatulia kabisa alikuja Tanga kwa kasi zaidi ya rocket! Sasa Dak City inabidi tumuite huyu kijana tumkanye! Halafu we Mentor haurudi tena Tanga kwasababu uko salama?

Hapana sirudi kwani kunanipa kumbukumbu za kusikitisha!

teh teh kunisifia publicly,hujui watu watajenga imagination kubwa matokeo yake wakiniona live wanazimia kukuta mambo ni kinyume Mentorkhaaa

Mi chichemi!!!!:glasses-nerdy::mad2::mad2:

Stori yako nzuri. Ukiichezea muvi ita heat.
Hebu nikumbushe forodhani kwa tanga ipo mitaa gani mana nilitoka huko kitambo.

duh.......... Mentor kumbe ndo maana ulikuwa vere down................you didnt want to meet your buddies, neither cook, nor smoke wee with em, hata kukaribisha watu unaishia kuwachungulia dirishani!!!
now i know!!!!!

Jitunze!
 
huyu kijana hajatulia kabisa alikuja Tanga kwa kasi zaidi ya rocket! Sasa Dak City inabidi tumuite huyu kijana tumkanye! Halafu we Mentor haurudi tena Tanga kwasababu uko salama?


Hapo juu kasema eti hana maana hiyo...why Tanga??

Bado mie sijaelewa wala kumwelewa huyu Mentor....

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
......dahhhh, pole Mentor,
Hebu baada ya miezi mitatu kajipime tena upate faraja kamili.

All in all, wapo kina "aneth" wengi kweli these days,...ukikoswa koswa ipo siku ya 40th tu....!!!

Swahiba Dark City, mambo ya Tanga hayo, waja leo,....

Ina maana swahiba hujaona jinsi Mentor ilivyoamua kufanya tukizo zito la kuwachinjia baharini wa Wing wangu??

Kama hataomba radhi basi mimi na yeye....lol!!

Ngoja tuendelee na mchakato wa kumtafuta loya...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    4.9 KB · Views: 161
Mkuu jibu lako limenichekesha! eti anataka kuprove kama hesabu zake ziko sawa!
Kwani Mapi wewe uko wapi? hujui kama KOKUTONA yupo nje ya nchi?


Umesahau zile hesabu za enzi zile? Ukishapata jibu ni lazima u-prove ili uwe na uhakika wa marks!!....Ndiyo raha ya hesabu hiyo...lol!!

Tatizo huyu mshikaji anataka kutumia short cut kupitia Sahare kwa Babu......

Babu DC!!
 
Umesahau zile hesabu za enzi zile? Ukishapata jibu ni lazima u-prove ili uwe na uhakika wa marks!!....Ndiyo raha ya hesabu hiyo...lol!!

Tatizo huyu mshikaji anataka kutumia short cut kupitia Sahare kwa Babu......

Babu DC!!

Umenikumbusha milinganyo enzi hizp dah!
Atapotea tu huyu na kujikuta Mombasa akidhani yupo Sahare, amuulize Filipo alivopotea akidhani yupo Kange kumbe Nyind@
 
Last edited by a moderator:
Moral of the story;

Mtumiaji wa ARV hawezi kumuambukiza mtu mwingine UKIMWI, Scientiffically approved !
 
Mbona umechelewa sana kutujuza kisa hk mentor!?
Ina maana tangu 8.8.2012 mpaka leo hii??
Laiti kama ungewahi mapema kutujuza juu ya haya yaliyokupata ungetunusuru wengi sana hasa vijana tunaowabwatukia wadada na wamama watu wazima waliofiwa na waume zao huku wakiachiwa mali na vitu vingine vya thamani..!
Sijui kama nimepona.....!!
 
Na wazee pia wamo. Cc: Asprin, Mtambuzi



Am humbled mkuu mwekundu...nadhani ni muda wa kuoa sasa!!!!



Na wanawake pia...au??!



inawezekana sina...? Hahahaha...jichunguze! #tafakari




...na kuoa!



Amen!

Pale kwa muuza pharmacy nilijifanya kauzu zaidi ya dagaa as if nilikuwa najua yote like hakuna kipya alichoniambia! Kumbe moyoni alinichoma zaidi ya mkuki wa moto..

Afi hiyo ndo dawa maana ungeonesha kua umeshtuka angeongeza maneno mengi ungekosa hata nguvu za kurudi nyumban
 
Kwa hiyo Mkuu Mentor , ikabid Mtoto wa Kiume ukimbie Tanga kama heading yako ama umekomaa kibishi na huo Mji ??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom