SuzanWe ni Aneth nini mkuu!?
Imeandikwa nayaweza yote katika yeye anitiae nguvu. Tujikabidhi kwa Mungu tutayashinda majaribu.With man it is impossible, but not with God. For all things are possible with God.
story tamuuu daaaaahImeandikwa nayaweza yote katika yeye anitiae nguvu. Tujikabidhi kwa Mungu tutayashinda majaribu.
Hongera kwa kusalimika na naamini kupitia hii wengi watajifunza. Wapi suzan ??
Nafikiri kwa miezi minne ya wasiwasi umepunguza uzito kiasi cha kutosha hata mazoezi huhitaji.