Tanga Sirudi Tena...

Tanga Sirudi Tena...

intersting ila kuna mengi ya kujifunza.wanaume sisi wadahifu sana kwa wanawake basi tu mungu anatulinda.
 
iii story ka ni ya uongo vile....sijawah ona duka raskazon...kule kuna supermarkets tu aisee
 
Mentor, kuna siku nilihisi kuadimika kwako hapa jukwaani kwa muda, lakini kwa hii story sina tena jambo la kuuliza upo wapi. Big up mkuu, very interesting story, ila huyo shombe shombe amenifanya tena kukumbuka ile story ya sorry is a sorry word, ndani yake ya mwarabu ina nini, let me test this syndrome (mwisho wa kunukuu).

We can learn something from this story, it is very interesting, it has got a good connection which give the excitement to make followup.
 
Last edited by a moderator:
Siye tulikuwa twapaita Jamhuri Park na wala hakukuwa kwauzwa urojo ndio maana nikahamaki...

Ilikuwa ni bustani tu kwa ajili ya watu kupumzika na kupata upepo mwanana wa bahari...

Hiyo ni Tanga ya zamani hata kabla ya uwepo wa daladala, ndiyo Tanga niliyoishi miye

Fanya mpango swaiba twende forodhani ya Tanga ya leo tukale UROJO.

CC Mwanyasi
 
Last edited by a moderator:
Dah yan umshukuru Mungu wako ndo alikuepusha na kikombe hicho kichungu...
Ila story hii inatukumbusha kuwa waangalifu lakini kwa vile akili kubwa hua inashndwa nguvu na ndogo majanga kama haya ndo hutokea.
Dah cpat picha roho ilivyotaka kukutoka baada ya kuambiwa yale maneno na muuza pharmacy...
PLL achilia mbali yale ya muuza dawa. je ya mama yake mkwe Menter "kama wewe hujihurumii, wahuumie watoto wa wenzako".

Kweli mabadiliko yanaanza na mimi na wewe. Tubadilike
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom