Tanga Sirudi Tena...

Tanga Sirudi Tena...

Kaka naomba niidevelop nikamuone shigongo tutoe kitabu maana imenivuta sana
 
Pole mentor kwa yaliyokukuta, linafundisha kuwa sio kila king'aacho ni dhahabu.
 
......dahhhh, pole Mentor,
Hebu baada ya miezi mitatu kajipime tena upate faraja kamili.

All in all, wapo kina "aneth" wengi kweli these days,...ukikoswa koswa ipo siku ya 40th tu....!!!

Swahiba Dark City, mambo ya Tanga hayo, waja leo,....
 
Last edited by a moderator:
Mentor mzee wa kujiloweka upo!!? Njoo huku watu wanataka kujua kama usharudia kipimo cha mezi mitatu baada
 
Last edited by a moderator:
Asnam, sometimes wanaume tunababaikaga, we angalia hiyo avator yako, kama wewe ndio uko hivyo halafu umekuja nyumbani kwangu, nisikudanganye, ndomu kuikumbka hapo sio rahisi, ntafikiria hivi, hivi kweli huyu nimle akiwa ndani ya nailon,mh hapana bana!
huo ni mwanzo tu,vipi Suzan ye hakupata mentee? hongera kwa kutulia.

hadithi hii inatufundisha tutulie na mpenzi mmoja na tuwe waaminifu teh teh teh
 
Hahaha...siku hizi mambo yote Tanga Resort

2013-09-03 20.27.25.jpg ..been there!


Mentor angalia tuu usije ukapata watoto wakaanza kukuita babu maana kwa trend hiyo ya kuanzia baba na kaka yako inaelekea wewe utavunja record hapo ya kuwa na umri zaidi ya hao

Hahaha mkuu maombi yanahitajika kuliepuka hilo!!!!

shamba langu limethibitishwa na TBS sina presha na hizo one night stand

Naam ndo maana siku hizi tongozo zangu unazilia batieee...!!!!


Mkuu ulipima mara ngapi?

Mara moja tu mkuu na inatosha!
Unazani kupima raha....


Weee! Alipima mara ngapi? Hainaga poo hii kitu labda apeleke damu ya mbuzi au kuku kama akilazimika kurudi mara ya pili! Madaktari wetu waliosoma enzi za migomo hawachelewi kukupa majibu ya mwenzio!


Mueleze anadhani hiyo kitu ina mazoea hata bikra ana wasiwasi bado..chezea!!!


daaaa!!!! mkuu ulifaidi sana, pole zimfikie Mtoto Aneth. But usiichukie Tanga Mkuu.

Siichukii naiogopa...


  • Nimejifunza kitu hapa. Nimesoma simulizi yote neno kwa neno.

I am glad...

Uko sawa mkuu.. Mentor inabidi urudie kipimo mara ya pili kama hujarudia na kipimo hicho hufanyika miezi mitatu baada ya kuachana na Aneth

Ila jamanizanguni, kama nilipima miezi miwili baada ya mara ya mwisho kukutana na Aneth kuna umuhimu gani kupima tena. lengo lenu munitie presha tena au...


Unajua mkuu, amenipa hofu kidogo aliposema alipima wakati wa maonesho tu, na hii kitu ina hatua zake. Moja wapo ya hatua hata ukipima unaweza usiione, sasa nilitaka kujua tu kama alirudia tena baada ya miezi mitatu.

Shindwa na ulegee mkuu grafani11...


Nilikuwa naenda kupiga Demu leo...Nimebadili mawazo Asante Mentor kwa "Ngano" (Hadithi) hii nzuri...

Nashukuru mkuu kwa kuwa positive change kwako! Ni balaa hii kitu...cheza mbali na papuchi usiyo na guarantee nayo!

Pole sana mkuu na hongera pia kwa kupita salama.

TRUST NONE

Nimejifunza...

Ni Tanga hiyo hiyo kaka lakini siye tulizoea kupaita Jamhuri Park....ni ule mtaa ambao upande mmoja ukienda moja kwa moja watokea ofisi za Manispaa....halafu huu upande mwingine waenda hadi ghorofa la bandari.

Bila shaka ukiziona hizi picha utavuta vilivyo taswira ya kijana Shabaan...


tanga3.jpg


tanga2.jpg

Enheeeee marhabaaaaaaaaaaa hapohapo mkuu..panaitwa Forodhani. Siku hizi pamejengwa vimbweta..
ukishuka huko chini pako hivi:

2013-09-03 18.31.57.jpg
 
Last edited by a moderator:
Naam ndo maana siku hizi tongozo zangu unazilia batieee...!!!!
hahahahahaha Mentor unaambiwa na waswahili "ukishikwa shikamana"
 
Last edited by a moderator:
A nice story mmh nikajua ndo baas tena!! Loh kumbe uliponea chukuchuku! Mmmh!! Kweli mapenzi laana waweza kufa hivhiv wajiona! Yapaswa umshukuru mungu wako maana bado anakupenda!!
 
''Ya nini kumkumbatia kifuani mwanamke mgeni. Usimtamani mwanamke huyo kwa uzuri wake, wala usikubali kunaswa kwa kope za macho yake.''
 
Nimejifunza kitu, unajua kuandika short stories. Big up mkuu Mentor
 
Back
Top Bottom