Amen to that bro...
You are welcome HITLER. I hope you learned something from it.
Zaidi ya hatari..miezi minne ya hofu na wasiwasi mwingi...
Mwenye masikio na asikie...
Sirudii tena mkuu, nimekoma!
Na umenifunza vyema, nashukuru ulimwengu ulinionea huruma.
Ushwahi kufika hapo? Wanamfahamu sana Aneth pale...poor me sikujua kwa nini hakutaka twende huko!
Mshomile anayeishi Tanga kwa sasa.
hahah...ukitulia ni fupi tu au basi nikija kwenu nitakusomea yote...
hatimaye nimeweza kuisoma ila naomba tu uje unisomee tena. lol
Pole kaka
weye tena shemeg yangu...tena nitaisoma kwa mahisia kama vile mimi ndio Mentor mwenyewe
hahahahaha, halafu utanisomea na ile ya verossa nayo ilinipa uvivu,... natanguliza shukrani.
Hivi kwani bado ipo ile, nahisi kama iliwekwa kapuni na wakulu wa hapa...
Kweli niliamini hata binti awe mpole vipi, mrembo vipi usimuamini kirahisi hivyo. Kuna mengi nyuma.
View attachment 114770
Mentor sabal kheri?? Kwema huko??
Kavu inataka moyo!
Sasa Mentor unataka na mimi nigahiri kuchukua mtoto wa kitanga ila tuacheni maskhara watoto wa kitanga wengi wao ni wazuri ........
safi kiongozi
kama haipo utanihadithia ya kwako, najua unazo. lol