Tanga Sirudi Tena...

Tanga Sirudi Tena...

Mentor story nzuri sana mimi ilishawahi kunitokea hio kama mara 3 ndugu yangu!
Ila Mwenyez Mungu nahisi anamipango na mimi. Ila jamani wenye virusi na kujua kisha kuishi vizuri tu wa mioyo ya ajabu mno.
Unajua mtu ukijihisi umeukwaa kila kona ukigeuka unaona matangazo ya ukimwi. Redioni, tv, magazet, mabango, story za marafiki, ndugu yani dah ni rahisi kuchamganyikiwa.
Tuwe na mioyo ya kuwaelewa wenzetu na kiwahurumia ila bila kuwaonyesha maana inawaongezea stress.
 
It is a beautiful story based on genuine facts that can touch anybody.
Asante sana mentor umetoa somo tosha kwa wote. Ni hatari kunusanusa kila ukionacho maana vipo vinavyopalia.
Shukrani kwake Mola kwa kukunusuru; usirudie tena.
 
Hii ni kesi kubwa kwa wana Tanga Wing. Ngoja niwasiliane na katibu afungue kesi haraka.

Cc Mwanyasi, KOKUTONA

Babu DC!!

Kweli kabisa babu tufanye utaratibu huo.

Ila wamekumbushwa tanga kuna karibu hakuna kwa heri though vitu vilivyomtokea mleta mada vinaweza kumtokea mtu yeyote na mahali popote.
 
Mentor nisingekuwa nimeshawahi kukutana nawe, tukala na kunywa pamoja hakika ningewaza mengine ila hakika wewe una vinasaba (DNA) na Mtambuzi.

Ni fundisho murua sana kwani linatufanya tuulinde ujana wetu.

Above of all tread hii ni kali...!!!
 
Last edited by a moderator:
Mombasa siendi tenaaaaaaaaaaaaaaa
Majengo siendi tenaaaaaaaaaaaaaaaa
Kuna ndogondogoooooooooooooooooo
 
Mh,mimi nina wasiwasi na kipimo, kapime tena-(joke) hhahaha
 
Back
Top Bottom