tatizo hesabu ugonjwa, ndomana nkauliza
hahahaha...umenikumbusha mbali sana, begi zima lina bakuli ya uji na vizibo vitno vya soda..hahahahaHapo sasa sina msaada,
Itabidi urudi chekechea (a.k.a shule ya vidudu) ili ukanywe uji...lol!!
Babu DC!!
Nishafika sana La casa chika :rockon:Na umenifunza vyema, nashukuru ulimwengu ulinionea huruma.
Ushwahi kufika hapo? Wanamfahamu sana Aneth pale...poor me sikujua kwa nini hakutaka twende huko!
Unapakumbuka Splendid?
Ha ha haaa...nilikiuwa napapita nikiena POPATRAL Kwa MR Dagaaa. R.I.P
Ipo bhana siku hizi swahiba.
Ha ha haaa...nilikiuwa napapita nikiena POPATRAL Kwa MR Dagaaa. R.I.P