Tanga Sirudi Tena...

Tanga Sirudi Tena...

Mr Rocky, asante mkuu!
Cha maana ni kutokufanya kabisa hiyo kitu mkuu! tulia tu au oa! and since mimi na kuoa ni ntu na Nkwewe basi nmeona nitulie kama maji ya mtungi!

Kuna uwezekano hapa nikaenda kumuona mama Mentor aje ategue kitendawili hiki na alazimishe umpe wajukuu maana naona huu mtihani nitaushindwa mimi
Maana bila mama Mentor kutaka wajukuu kwa lazima hutaoa aise
 
Last edited by a moderator:
daaah sijamaliza kuisoma nimeweka alama nitakuja kuimalizia baadae

Nitakukumbusha...


Uuuuwi nusura nipate kiharusi...nimesoma kwa kihere here nikarukia aya ya mwisho ni mwaka sasa naishi kwa matumaini....big up bro,Mungu kakupenda never try it anymore! Pamoja na changamoto nyingi za maisha ila kuwa na uzima ni jambo lla heri!...Kuna watu nimewazoea humu ndani na nawachukulia kama ndugu zangu so mabalaa yao ni msiba kwangu!

Hahaha mkuu nashukuru nimepewa a second chance in life...tupo pamoja!

mtulie vijana dunia ipo

Sadly wengi wetu tunajua hilo when it's too late already!


Mmmh!! hili jina la Aneth inabidi nianze kulitilia mashaka, sijui ndio yule Aneth wa Mbagala aliyekupa lifti ya mwamvuli kituoni...teh teh!!!

Halafu kaka Mentor, TA hakuna Forodhani bana loh

Hapana, yule aliitwa Mariam! toto la kisukuma..acha tu kaka usintie machungu.

Halafuuu wewe ni Tanga ipi uijuayo? Pale opposite na Chichi club au La vida loca panaitwaje???

Tulikuwa tunaenda pale na Shaaban na nankumbuka alipenda sana kuangalia meli. He dreamt of being a 'pilot wa meli' sometime akiwa mkubwa!!!
 
kutokana na hii stori
nimejifunza kutokutumia kila fursa inayokuja
ila kupima kwanza side effects za fursa

Kha umetafakari mno na wewe ngoja nimwite Kaizer (btw Kaizer ameoa wake wawili tayari na mmoja ni dada yangu...watch out! Cc: gfsonwin na AshaDii ) anisimplifaie ulichomaanisha
 
Last edited by a moderator:
‘Loneliness is directly proportional to the accumulation of proteins in the body.'UMETISHA SANA Mentor stori tamu sana halafu umeijaza drama kibao ambayo inasababisha kufuatilia step by step haichoshi
 
Kwa story hii naamini wanaume mtajifunza namna ya kuchukua tahadhari sana mnapoanza mahusiano na kujikinga na vishawishi (hasa mazingira unayokuwepo wakati huo).
 
Dah yan umshukuru Mungu wako ndo alikuepusha na kikombe hicho kichungu...
Ila story hii inatukumbusha kuwa waangalifu lakini kwa vile akili kubwa hua inashndwa nguvu na ndogo majanga kama haya ndo hutokea.
Dah cpat picha roho ilivyotaka kukutoka baada ya kuambiwa yale maneno na muuza pharmacy...
 
Stori nzuri aisee.....

Ila uliponea katika tundu la sindano.......

Ni tundu dogo zaidi ya la sindano hun...

Mr Rocky, asante mkuu!
Cha maana ni kutokufanya kabisa hiyo kitu mkuu! tulia tu au oa! and since mimi na kuoa ni ntu na Nkwewe basi nmeona nitulie kama maji ya mtungi!

Kuna uwezekano hapa nikaenda kumuona mama Mentor aje ategue kitendawili hiki na alazimishe umpe wajukuu maana naona huu mtihani nitaushindwa mimi
Maana bila mama Mentor kutaka wajukuu kwa lazima hutaoa aise

Hahaha mama Mentor ni worse kuliko mimi. Yeye huwa ananiambia nisubiri. Baba Mentor alioa akiwa 30yrs. Kaka Mentor kaoa at 32 yrs...unazani Mentor ataoa na miaka mingapi mkuu!???

tanga c pakuchezea

Umenena vyema mkuu...
 
Last edited by a moderator:
Stori nzuri na inafundisha sana. Vijana tutulizane.

Na wazee pia wamo. Cc: Asprin, Mtambuzi

‘Loneliness is directly proportional to the accumulation of proteins in the body.'UMETISHA SANAMentor stori tamu sana halafu umeijaza drama kibao ambayo inasababisha kufuatilia step by step haichoshi

Am humbled mkuu mwekundu...nadhani ni muda wa kuoa sasa!!!!

Kwa story hii naamini wanaume mtajifunza namna ya kuchukua tahadhari sana mnapoanza mahusiano na kujikinga na vishawishi (hasa mazingira unayokuwepo wakati huo).

Na wanawake pia...au??!

..Ngoja na mimi nikapime, inawezekana sina...?

inawezekana sina...? Hahahaha...jichunguze! #tafakari


Kweli tumekwepa mishale mingi, ni muda WA kubadilika

...na kuoa!

Dah yan umshukuru Mungu wako ndo alikuepusha na kikombe hicho kichungu...
Ila story hii inatukumbusha kuwa waangalifu lakini kwa vile akili kubwa hua inashndwa nguvu na ndogo majanga kama haya ndo hutokea.
Dah cpat picha roho ilivyotaka kukutoka baada ya kuambiwa yale maneno na muuza pharmacy...

Amen!

Pale kwa muuza pharmacy nilijifanya kauzu zaidi ya dagaa as if nilikuwa najua yote like hakuna kipya alichoniambia! Kumbe moyoni alinichoma zaidi ya mkuki wa moto..
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: PLL
Labda ajulie hapa..kuna things that are better left unsaid! I think this is one of them...

Ahahaha...yanalowanisha matofali mkuu! Inaweza kuanguka chunga sana...



Thanks mkuu!!!! M glad umejifunza jambo...




@mr rocky, asante mkuu!
Cha maana ni kutokufanya kabisa hiyo kitu mkuu! tulia tu au oa! and since mimi na kuoa ni ntu na Nkwewe basi nmeona nitulie kama maji ya mtungi!




Hilo la mentee silifahamu kwani naye hakujua yangu!

Kutulia ni moja ila ni vyema kumfahamu mwenzio kabla hamjaamua ku-do the nidful!!!



mamboya one night stand ndo yanashabikiwa thiku hizi thatha wanapima saa ngapi brazaaaa
 
Duh! Mshukuru sana Mola wako kama unaamini kuwa Mungu yupo. Mwombe akujalie nguvu za kushinda majaribu na vishawishi maana majaribu hayana budi kuwapata wanadamu, cha msingi ni kuyashinda.
 
Sipati picha, je na Sue naye wakati ulipokuwa unampiga chenga kwa penzi jipya la Aneth yeye DSM hakupata wa kumpunguza Protein kweli, na je alitumia zana au alipata bahati kama yako?

Thought were you on your way to heaven just like the way it's written on your avatar?
 
Back
Top Bottom