Tanga Sirudi Tena...

Tanga Sirudi Tena...

Mentor taratiiibu mdogo wangu... Usije fanya DEMBA akasusa na hali baraka zishatolewa. Mimi sasa hivi nalea watoto wa familia zote nashinda tu nyumbani, gfsonwin anasaidiana na baba watoto Kaizer kutafuta na kuchangia chochote ndani ya familia... Tunakuwa tumechoka mno jamani. So shem wako anahitaji mtu ambae kila wakati yupo fresh... Hapo thats where Demba comes in. :smile:

There you are mammy.... DEMBA umesikia? Una baraka zoote, enjoy yourself.
AshaDii me love you sana
 
Last edited by a moderator:
curious me...hivi tafsiri ya 'supermarket' kwa kiswahili ni ipi?

Nami nilitaka kuuliza but nikadhani mimi kidhungu changu ni cha st kayumba. Nijuavyo mimi duka ni popote unapoweza kufanya manunuzi ya vitu flani flani includingi supermarket, mini supermakert na mazaga zaga mengine

CC kataleya
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom