TANESCO kuna tatizo gani ambalo limetokea na kupelekea maeneo Mbezi Beach 'B' kukosa umeme toka usiku wa manane mpaka muda huu? Najaribu kupiga namba za simu za ofisi yenu lakini zinaonekana zipo 'busy"?
 
TANESCO kuna tatizo gani ambalo limetokea na kupelekea maeneo Mbezi Beach 'B' kukosa umeme toka usiku wa manane mpaka muda huu? Najaribu kupiga namba za simu za ofisi yenu lakini zinaonekana zipo 'busy"?
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi tafadhali
 
Mmekata umeme last week jtatu,jnne,jtano,jmosi siku nzima no working!wiki hii jana jtatu mmekata saa moja asubuhi mpaka saa nne usiku eneo kubwa kuanzia Manzese mpaka Kimara,almost wilaya nzima ya Ubungo.Na leo naamka asubuhi hapa Kimara hakuna umeme,umeshakatika.Hebu tuambieni wakuu wa nchi hii tunaishi vipi kwa hali hii?!
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi tafadhali
 
Tanesco Rukwa mnaua viwanda vidogo vya vijana walioamua kuwa wajasiliamali kwenye welding, fisheries, milling n.k

Mnakata umeme kwa zaidi ya saa 15/24 kitu ambacho kinafanya watu washindwe kufanya kazi
Sababu zenu kuwa transformer yenu kubwa inayounga umeme kutoka Zambia ina matatizo, ,tunaona ni ya uongo maana sumbawanga mjini mnawapa umeme saa nyingi kuliko wilaya zingine km kalambo, dc na nkasi

Tanesco, acheni kuwarudisha watu nyuma, acheni kuua ajira za vijana.
Leo watu hawana uhakika wa kazi zao kisa umeme.
Inauma sana, chukueni hatua
 
Unakata umeme mchana kutwa nzima, ,alafu unarudisha usiku wa manane, kisha unakata tena alfajiri!!!

Kutwa nzima umeme hakuna! Hizo kazi zitafanywa usiku??

Watu watasaga usiku? Watatengeneza milango, madirisha, vitanda n.k usiku?

Mnawaingizia wajasiliamali wa usindikaji wa samaki gharama kubwa za kutumia generator, na bado serikali inapandisha Bei ya mafuta!!!!

Hiyo maintenance itachukua muda gani? Mbona mnaturudisha kwenye hali iliyotufanya tushindwe kujiajiri!!??

TANESCO
 
Hii nakubaliana nawewe

Bora yaletwe makampuni mengine tu

Umeme imekua shida mno siku hizi

Tafikiri wanatufanyia hisani yaan kama wanatupa bure
 
Sio mwanza tu hili tatizo ni karbu kila mkoa watu wanalalamika
 
Sijui tutaishije sisi ambao biashara zetu mostly zinategemea umeme

Yaani mtu kama una mtaji mkubwa unafunga limtambo la solar likubwa
 
TANESCO ivi sisi wafanya biashara was hapa kimara mwisho njia ya bonyokwa tumewakosea nini? Jana mlikata umeme kuanzia saa 8:30 aubuhi mkarejesha saa 07:48 usiku, sasa I've mmeka tena umeme , Kila siku huu mtaa mnakata umeme ..shida ni Nini ?
 
TANESCO ivi sisi wafanya biashara was hapa kimara mwisho njia ya bonyokwa tumewakosea nini? Jana mlikata umeme kuanzia saa 8:30 aubuhi mkarejesha saa 07:48 usiku, sasa I've mmeka tena umeme , Kila siku huu mtaa mnakata umeme ..shida ni Nini ?
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Eneo mwananyamala


Wilaya ya kinondoni


Namba ya 0717505745

Tatizo ni nyaya ya neutral kupitisha umeme

tatizo limeanza toka jumatatu ya 29/11/2021 baada ya umeme kukatika na kurudi

tumejaribu kuwatafuta kwa namba za simu both emergency na tanesco office hawapokei simu
 
Nimenunua umeme a/c no
54 1722 4342 7 mpaka sasa sijapata token. Tatizo ni nini?
Halotel wanasema pesa imeshatumwa Tanesco.
 
Magu alisema mtanikumbuka sio kwa mabaya bali kwa mazuri

Yani siku hizi Tanesco mnajiamulia tu kukata kata umeme

Jana hapa Chamazi mlikata umeme sa 1 usiku mkarudisha sa 6 usiku na Leo tena sa 1 hii mmeshakata sijui mtarudisha sa ngapi

Muheshiwa waziri mkuu Majaliwa ebu mtumbue huyu meneja wa tanesco kanda ya mbagala
 
Maana nasikia huwa wanapewa mzigo mameneja ili umeme upelekwe viwandani

Mgao gani kila siku kuanzia SAA 1 hadi usiku wa manane
 
Nimelipa wa Tisa had Leo Sina umeme jiran yangu kalipa wa nane Hadi leo kimya

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Tanesco- Dodoma jiji ni Janga...,Eti wamesimamisha kutoa control number/malipo kwa wateja ambao connection ina involve nguzo 1.....,NA HAILEWEKI WAMESIMAMISHA MPAKA LINI.....??!. [ENZI ZA MAGUFULI HAYAKUWEPO HAYA]
 
Tanesco- Dodoma jiji ni Janga...,Eti wamesimamisha kutoa control number/malipo kwa wateja ambao connection ina involve nguzo 1.....,NA HAILEWEKI WAMESIMAMISHA MPAKA LINI.....??!. [ENZI ZA MAGUFULI HAYAKUWEPO HAYA]
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Huu umeme mnaokatakata huku mbezi beach hata siwaelewi kabisa. Imagine asubuhi yote hii mshakata Mara tatu, hii ni tatizo. Kwa hii hasira mnayoileta kwa wananchi sitarajii kuipenda serikali hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…