Mamtolo
Senior Member
- Feb 27, 2018
- 167
- 190
Nimeomba huduma tangu Januari 2019 na contractor alifanya kazi ya mchoro wa nyumba...kugonga mhuri na fomu ikarejea Tanesco. Mbona hawaniiti kunipa makadirio ili nilipie na hatimaye nifungiwe umeme?
Wilaya: Iramba
Kata:Kinampanda
Eneo/ kitongoji: Kitusha-Kanisani
0768407939
Wilaya: Iramba
Kata:Kinampanda
Eneo/ kitongoji: Kitusha-Kanisani
0768407939