TANESCO

Hii meter/ remote ya ndani inanisumbua sana kuweka umeme.

Uliisha kabisa nimenunua lakini kila nikijaribu kuweka inakataa.
Inaweka 30.
Nifanye nini umeme uingie?
Leo ni siku ya nne niko gizani.
 
Tanesco kahama cjui mna nn, kuna nguzo imelipiwa toka mwez wa kwanza hapa kagongwa,

Nguzo imekuja kuwekwa mwezi wa tatu mwanzon, baada ya hapo mka kaa kimya kama hamjui kuwa kuna watu wanashida na umeme...

Mbaya zaidi Wale surveyors wanapita kila jmoc, lakin Wale wanaohusika na kuweka umeme mmekaa kimya utadhan maji mtungini.

Jirekebishen haiwezekan watu wasubiri umeme utadhan hawajalipia ilihali kila kitu tayari.

Au kuna issue nyingne extraordinary inahitajika ili hiyo service ifanyike?????

Majibu tafadhali.
 
Siyo fair mnakata umeme tangu asubuhi had saa 4 usiku.... Mambo yetu, biashara zet zote znakwama !
 
Kwann mnawekea watu nguzo za umeme lakin kuja kiwawekea umeme iwe ni story isiyo isha???

Au tanesco nayo inaendeshwa kwa siasa nn....

Kagongwa mmechomeka nguzo tiuiuuuuuu mkasepa

Daaah mnaboa Sana.
 
Ndugu mpendwa mteja
Tunaomba taarifa kamili ya eneo gani? Namba yako ya simu tafadhali
 
Kwann mnawekea watu nguzo za umeme lakin kuja kiwawekea umeme iwe ni story isiyo isha???

Au tanesco nayo inaendeshwa kwa siasa nn....

Kagongwa mmechomeka nguzo tiuiuuuuuu mkasepa

Daaah mnaboa Sana.
Ndugu mpendwa mtejaTunaomba taarifa kamili ya eneo gani? Namba yako ya simu tafadhali
 
Siyo fair mnakata umeme tangu asubuhi had saa 4 usiku.... Mambo yetu, biashara zet zote znakwama !
TUPATIE TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA.

NDUGU WAPENDWA WATEJA WETU MNAOTOA TAARIFA KUPITIA MITANDAO YETU YA KIJAMII TUNAWAOMBA MZINGATIE YAFUATAYO ILI KURAHISISHA UFAFANUZI NA UFUMBUZI WA TATIZO AU TAARIFA HUSIKA

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)


TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO
 
Tanesco kahama cjui mna nn, kuna nguzo imelipiwa toka mwez wa kwanza hapa kagongwa,

Nguzo imekuja kuwekwa mwezi wa tatu mwanzon, baada ya hapo mka kaa kimya kama hamjui kuwa kuna watu wanashida na umeme...

Mbaya zaidi Wale surveyors wanapita kila jmoc, lakin Wale wanaohusika na kuweka umeme mmekaa kimya utadhan maji mtungini.

Jirekebishen haiwezekan watu wasubiri umeme utadhan hawajalipia ilihali kila kitu tayari.

Au kuna issue nyingne extraordinary inahitajika ili hiyo service ifanyike?????

Majibu tafadhali.
Ndugu mpendwa mteja
Tunaomba jina ukilolipia au namba yako ya form au namba ya simu
 
TANESCO

Hii meter/ remote ya ndani inanisumbua sana kuweka umeme.

Uliisha kabisa nimenunua lakini kila nikijaribu kuweka inakataa.
Inaweka 30.
Nifanye nini umeme uingie?
Leo ni siku ya nne niko gizani.
Ukiingiza umeme inaandika nini?namba yako ya simu tafadhali
 
Nililipia kuungañishiwa umeme tarehe 19/4 na sijaambiwa kitu chochote,,,nini tatizo?nililipia na nguzo
 
Jamani tanesco huku salasala kwa mrope umeme ni mdogo cna wakati mwingine hata radio ina shindwa kuongea yaan makelele ya IPTL mtupigie sisi na bado umeme mtupunje liangalie upya hili eneo mnatutesa cna
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;


LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO
mimi ni mkazi wa kigamboni, nmelipia umememn toka tr 11 mwez wa kwanza mwaka huu 2017 lakin mpka sasa nnaishi gizani? hivi kwann mnatufanyia hivi jaman? ukienda unaambiwa nguzo hakuna wakat ukienda yombo pale yunakuta minguza zaid ya eflu imelalal tu usku kucha.
 
TANESCO TAFADHALI NAOMBA MNISAIDIE NATUMIA UMEME UNIT NDOGO SANA KWA MWEZI HATA 65 HAZIFIKI KWA MWEZI LAKINI NAONA BEI YA MANUNUZI WA UMEME BADO NI YA WATUMIAJI WAKUBWA MLISEMA HUA INABADILIKA AUTOMATICALLY HAMNA KITU. METER NO. NI 24217491554
 
Tanesco mmenikera kiukweli, mmenifungia luku mwez wa 11 mpka leo hamtaki kunitoa kwenye tariff. Miezi mitatu ya maangalizi imepita, nmeandika barua toka mwez wa tatu ili nitolewe ila hamjanitoa.

Naombeni mnitoe kwenye tariff, vigezo nmeshatimiz shida ni nn?. Mi. Nko monduli.... Meneja tawi la. Monduli tutatulie hili tatizo.

Afu yule dada maulizo ananyodo sana monduli
 
  • Thanks
Reactions: ADK
Unit hazipunguzwi bali huhamishwa kutoka mita moja kwenda nyingine mwa maombi kutoka kwa mteja na yawe kwa maandishi
TANESCO mtupe maelezo kidogo huku kijichi kwanini kila siku ya Mungu umeme lazima ukatike?

Shida huwa ni nini at least tupate maelezo tujiandae kisaikolojia kma ni matengenezo yasiyoaisha au mitambo imechoka maana its too much mtusaidie jamani
 
Habari zenu wakuu wa jf,mie ni fundi mzuri tu wa Umeme wa Majumbani,nafanya wiring katika nyumba na pia narekebisha hitilafu za kiumeme ndani ya nyumba,na pia natoa ushauri bure wa maswala ya kiumeme.

Aliye tayari ani Pm,napatikana ilala ila maeneo ya dar nafika kote
 
Habari zenu wakuu. Tatizo ni kukatikatika kwa umeme huku sengerema mkoani mwanza. Hili tatizo limedumu kwa muda mrefu sana.

Shida ni nn? Kwa nn tatizo hili lisirekebishwe sababu ni tatizo ni la muda mrefu. Nawasilisha
 
Back
Top Bottom