Kajirutaluka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 1,224
- 994
Thanks for quick response. I appreciate that. Good eveningLeo tulifanya kikao na madiwani na kuwaomba watusaidie katika ulinzi wa hio transfoma kwa sababu imeibiwa Mara kadhaa hapo. Tunafuatilia kwa sababu ipo maeneo ya biashara za watu yaani maduka. Pia changamoto ya mvua ilikuwa tatizo kubwa lakni kwa sasa mafundi wapo eneo hilo kuhakikisha huduma inarejea kwa wakati