Leo tulifanya kikao na madiwani na kuwaomba watusaidie katika ulinzi wa hio transfoma kwa sababu imeibiwa Mara kadhaa hapo. Tunafuatilia kwa sababu ipo maeneo ya biashara za watu yaani maduka. Pia changamoto ya mvua ilikuwa tatizo kubwa lakni kwa sasa mafundi wapo eneo hilo kuhakikisha huduma inarejea kwa wakati
Thanks for quick response. I appreciate that. Good evening
 
[QUOTE="TANESCO, post: 21083032, member: 23Male so Eneo haswa...... namba ya simu......[/QUOTE]
Majani mapana njia ya Galanos au maeneo ya Maleso yaani niusumbufu mkubwa na tunabembeleza hatusikilizwi kama vile huduma hii wanatupa msaada

Meneja ondoa hawawatu wanaozungukia eneo hili wanakuchafua unaonekana hufanyi kazi
 
Leo tulifanya kikao na madiwani na kuwaomba watusaidie katika ulinzi wa hio transfoma kwa sababu imeibiwa Mara kadhaa hapo. Tunafuatilia kwa sababu ipo maeneo ya biashara za watu yaani maduka. Pia changamoto ya mvua ilikuwa tatizo kubwa lakni kwa sasa mafundi wapo eneo hilo kuhakikisha huduma inarejea kwa wakati
Mafundi nimewaona. Thanks mkuu
c41bf97f7ff47ed6b29d68bde5ccabf3.jpg
 
taratibu gani za kufuata ili kubadilishiwa mita?
maana mimi nina kita umeme ukikatika tu na ukija kurudi nyumba yetu tu inakosa umeme mpaka tanesco wapigiwe waje wafungue mita na wawashe na hii inachukua mpaka siku 3 ukitoa taarifa ndo tanesco wanakuja
imekuwa kero sana, mpaka imefikia kipindi naona customer care wamikariri namba yangu maana nikipiga hawapokei, nikibadili namba nikipiga wanapokea
 
Tunaweza kupata namba yako ya simu
Dah me nimechoka sasa ni siku ya NNE Leo hawajafika wanadai kuna sehemu zenye maafa cjui Mara kuna sehemu muhimu ndio wanashughulikia kila ukiwapigia simu ni sound tuu na samahani nyng but hawatokei,, aisee njoon tu muitoe hii mita yenu nishazowea kiza sasa,, yaan kama kungekuwa na mashirik mengne ya kusambaza umeme kama ilivy kweny mitandao ya simu kiukweli ningeshahama Tanesco,, haya ngoja nisubiri mpk hapo watakapojisikia kuna pengne wakinirekebishia nitawaingizia hasara
 
Dah me nimechoka sasa ni siku ya NNE Leo hawajafika wanadai kuna sehemu zenye maafa cjui Mara kuna sehemu muhimu ndio wanashughulikia kila ukiwapigia simu ni sound tuu na samahani nyng but hawatokei,, aisee njoon tu muitoe hii mita yenu nishazowea kiza sasa,, yaan kama kungekuwa na mashirik mengne ya kusambaza umeme kama ilivy kweny mitandao ya simu kiukweli ningeshahama Tanesco,, haya ngoja nisubiri mpk hapo watakapojisikia kuna pengne wakinirekebishia nitawaingizia hasara
nashukuru japo mmnilaza Giza siku NNE hatimaye Leo wamenirekebishia ila mjitahidi jamani hawa watu wa emergency wanakuwa overloaded
 
Tanesco Emergency Ilala ni Upuuuzi mtupu nimereport tatizo SAA 5 asubuhi mpaka dakika hii no respond yoyote, hivi kile kitengo
ni cha emergency au nini vile na nagari mnaandika emergency,Upuuuuzi tu mpaka Nyumba ziwake moto,Upuuuuuzi
na wanauliza unareport kwa Mara ya kwanza au,kwa hiyo MTU apige simu Mara kumi aise wakutumbuliwa nyie!!!!!!
 
Tanesco Emergency Ilala ni Upuuuzi mtupu nimereport tatizo SAA 5 asubuhi mpaka dakika hii no respond yoyote, hivi kile kitengo
ni cha emergency au nini vile na nagari mnaandika emergency,Upuuuuzi tu mpaka Nyumba ziwake moto,Upuuuuuzi
na wanauliza unareport kwa Mara ya kwanza au,kwa hiyo MTU apige simu Mara kumi aise wakutumbuliwa nyie!!!!!!
Pole sna tunaweza kupata namba ya taarifa uliopewa baada ya kuripoti au namba ya simu. Tunaomba radhi sana kwa hili
 
Tanesco wanatutesa sana sisi wakazi wa Goba mwisho njia ya kwenda makongo, kila siku ya mungu wanazima umeme asubuh na kurudisha saa moja jioni, biashara zetu za saluni zinadoda kila siku kwa kukosa umeme.

Au mpaka tumwambie gwajima? Kama ni mgao why iwe ni sisi tu kila siku?
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Goba mwisho kila siku hakuna umeme, mnazima saa mbili asubuh mpaka saa mbili usiku ndio mnarudisha shida ni nn?

Tunapiga simu tanesco mbezi beach jibu lao tutafatilia kila siku jibu hilo hilo au mpaka tupeleke bungeni ?
 
Tanesco ongezeni magari ya emergency kama sisi eneo letu tunahudumiwa na gari moja tu maana kila siku wanaokuja ni wale wale
wakija unawaona kabisa.

wamechokaaaa hata maelezo ya nini kimetokea hawachukui wanawasha na kuondoka, mnawatesa sana hawa emergency,unapiga simu unapewa namba 1000,manake hiyo gari izunguke namba zote hizo ndo ufikiwe
mnakaribisha hata mianya ya rushwa,bahat mbaya sina hela ila ningekuwa nazo ningekuwa nawapa hela tu maana nyumba zote wanazochukuaga hela ukipiga simu tu haichukui muda wamefika
 
Bado nauliza kwa nini hamtaki kutuunganishia umeme? Imagine nimelipa laki 6 kuunganishiwa sasa yapata miez 6 je na hakuna linaloendelea.

Si bora ningezungusha hizo hela kwenye biashara? Kweli tunahitaji shirika m-badala wa Tanesco mmelala sana alafu inaonekana hampo serious
 
Maji yanavuja kwa wingi huku Tabata Mwananchi mtaa wa kwa JB. Ni mara ya pili nawaaambia humu. Nimepiga ofisi zenu za tabata wakasema wataleta mafundi LAKINI NITAGHARAMIA MATENGENEZO.

Sasa hapo nikawakatalia maana bomba linapovuja ni upande wa DAWASCO. Na pia ni jukumu lenu kufanya matengenezo iweje tena mkipewa taarifa mnataka malipo?

Panapovuja ni zaidi ya sehemu 5 ndani ya mita 200 za bomba lenu.
 
Maji yanavuja kwa wingi huku Tabata Mwananchi mtaa wa kwa JB. Ni mara ya pili nawaaambia humu. Nimepiga ofisi zenu za tabata wakasema wataleta mafundi LAKINI NITAGHARAMIA MATENGENEZO. Sasa hapo nikawakatalia maana bomba linapovuja ni upande wa DAWASCO. Na pia ni jukumu lenu kufanya matengenezo iweje tena mkipewa taarifa mnataka malipo?

Panapovuja ni zaidi ya sehemu 5 ndani ya mita 200 za bomba lenu.
Mkuu vipi tanesco waje wakuzibie bomba la maji? Hauko serious na mada.
 
Maji yanavuja kwa wingi huku Tabata Mwananchi mtaa wa kwa JB. Ni mara ya pili nawaaambia humu. Nimepiga ofisi zenu za tabata wakasema wataleta mafundi LAKINI NITAGHARAMIA MATENGENEZO. Sasa hapo nikawakatalia maana bomba linapovuja ni upande wa DAWASCO. Na pia ni jukumu lenu kufanya matengenezo iweje tena mkipewa taarifa mnataka malipo?

Panapovuja ni zaidi ya sehemu 5 ndani ya mita 200 za bomba lenu.
Unachanganya habari mkuu!

Thread ya DAWASCO ipo, itafute ili uwasilishe malalamiko yako huko ndiyo yataweza kuwafikia wahusika...
 
Back
Top Bottom