Uchaguzi 2020 Tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu uchaguzi Mkuu Tanzania 2020

Imeshapita iyo.... kwaiyo na sisi tunaofurahia ushindi wa kishindo tuandamane kuwalazimisha wafuasi wa Lissu mkubali matokeo?
Wangeongoza wapinzani bc yangekuwa matusi na kejeli hapa ila wanaona wameonewa kwa sababu n CCM ameshinda, watulie hvy hvy mana hakuna jins au waandamane ili madaktari wafanye kazi kama siafu
 
Huu nao ni UPUMBAVU wa hali ya juu kabisa. Mtu ana uhuru wa kutamka lolote lisilovunja sheria, lakini tamko hilo lisiwe na athari zozote zile.

Wapumbavu wakisikia tu eti kuna tamko la Nchi fulani dhidi ya Nchi yetu wanashangilia sana utadhani hilo tamko litawatatulia matatizo yao katika jamii kama vile Maji,umeme, Elimu, Miundombinu na huduma nyingine za kijamii.

UPUMBAVU kama huu wa kuwatukuza Mabwana zenu kutoka nje ndio kwa asilimia umesababisha KICHAPO KIKUU aka UBATIZO WA MOTO katika uchaguzi huu.

Uzuri ni kwamba, hakuna Mtanzania hata mmoja atakayeandamana kwa ajili ya maslahi ya watu wachache. Uchaguzi huu uwe fundisho kwa MABEBERU na WANASIASA wanaokwenda kinyume na Maadili,Miiko, utamaduni na utu wa Watanzania.
 
Huu nao ni UPUMBAVU wa hali ya juu kabisa. Mtu ana uhuru wa kutamka lolote lisilovunja sheria, lakini tamko hilo lisiwe na athari zozote zile.
Wapumbavu wakisikia tu eti kuna tamko la Nchi fulani dhidi ya Nchi yetu wanashangilia sana utadhani hilo tamko litawatatulia matatizo yao katika jamii kama vile Maji,umeme, Elimu, Miundombinu na huduma nyingine za kijamii...
-Tamko hilo linatatua kero za umeme,maji,miundombinu.

- Marekani wanafadhili ujenzi hadi wa miundombinu hapa nchini, umeme unakuta na bango kabisa 'kwa misaada wa watu wa marekani', miradi ya Afya kama HIV through ARV,nk.

-hivyo basi wakisema watunyime hiyo misaada kwa kigezo cha kwamba tumekiuka masharti ya misaada unadhani hiyo miradi serikali itafadhili?
 
Hakuna rangi tutayoacha kuona. Tutarajie ya Uganda tu hapa.. no ukomo wa uRais, watu kufa hovyo, ubabe wa kiwango cha juu! Kwa miaka 60 ijayo.
 
Upuuzi mtupu, matamko yao hayabadili chochote. Mawakala wao wamefurushwa na wazalendo vibaya mno, puuu mpaka chini. Kajipangeni mje tena 2040.
 
hakujawahi kuwa na mapambano kwenye uchaguzi wa marekani. ficha upumbavu wako.
Wewe unakaa dunia gani? Unakumbuka wakati george kichaka (Bush) aliponyakuwa ushindi wa democrats na maandamano yalifofuata na kutulizwa na nguvu za polisi na watu kufa. Hiyo haki ya maandamano inayosemwa na ubalozi iko wapi USA. Mbona kila siku wakioandamana marisasi yanarendema? Tena afadhali Magu/TZ kama kweli tatizo lipo siyo baya kama ilivyo USA ambapo watu weusi huuwawa na polisi kama vibaka.

Alafu mtu anasemea haki TZ wakati USA watu zaidi ya millioni 30 hawana haki. Kila mtu mweusi amuonapo polisi anaogopa huenda polisi akazulia jambo na kumpiga risasi.

Kila asimamishapo mweusi, tumbo huwa joto maana hajui kama atapona risasi ya mzungu. Alafu hao ndiyo marafiki wenu na mnataka wachukuwe madini yetu kwa rehani. Nendeni huko nyie vibaraka. Waambie basi wamarekani wawape visa mhamie huko mtuachie kwetu.
 
Njoo uandamane uvunjwe mguu!
Maandamano ya kwenye keyboard RUKSA, ile kwenye field waanze walioshindwa Urais na ubunge ndo wawe mstari wa mbele usikilizie mtihani wake. Eti marekani wamesema tuandamane akili za manyumbu hizi, kwani hapa marekani?.
 
IMG_20201029_224747.jpg
 
Watakuendesha hadi siku unaingia kaburini utake usitake. Kwanza simu na internet unayotumia vimetoka kwao. Haya kunywa maji
 
Wanajifanyaga baba wa dunia wakati na wao wanapangiwa urais na URUSI. Lazima tutegemee tamko uchwara kwa kuwa wananchi wamekataa kibaraka wao.
Ukiona watu wanawababaikia hao mabeberu ujue kuna asilimia fulani ni vibaraka wao.Beberu hawezi kukutetea bure, kama hatamani kitu kutoka kwako. Ndio maana magu anawatenda kwa akili kubwa.
 
Marekani inasisitiza haki ya maandamano ya amani kueleza maoni yao.
Kwa nini wao wanawapiga virugu wamarekani wenzao wanaoandama juu 'BLACK LIVES MATTERS'! ?
Walishindwa nini kumkemea Macron alivyotowalipulia mabomu wafaransa wenzake wa 'Yellow Vest'?

Nilishasema hawa moral authority katika masuala haya!
 
Back
Top Bottom