Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Status
Not open for further replies.
Kaunga wasio mjua pasco wanaweza kuangaika sana! Yani leo kanichekesha sana kwa sarakasi zake! Kule kwenye uzi wa kushikwa kwa maggid alinichekesha sana eti anasema alikwenda kuhojiwa tuu na ataachiwa tuu lakini ajui kwa nini alipewa sharti la kuwekewa dhamana!
Mkuu huyo ndo pasco aka mr. bonafide ginuwaini, tajiri wa likes hata kwa komenti kinzani yeye ni like kwa kwenda mbele! nami naisubiri like yangu ya kinafiki kutoka kwake.
 
Mkuu Atongwele, mimi sinashaka kabisa kuhusu authenticity ya ile video, natatizwa na jambo moja tuu "The Motive Behind!" baasi!. Chadema badala ya kukanusha "the motive behind" hiyo video, wako bize na ukachero wa utengenezwaji na upatikanaji!, Ludo akikiri na kukubali ku confess, atageuzwa shahidi number moja wa Jamhuri na picha itageuka!, inaweza asiwe tena ni Rwaka peke yake!, mnaweza msiamini!, nawashauri subirieni!, tunazungumza hapa as if ni utani, kwa sasa kwa Chadema, the issue ni video tuu, na kwao, this is just the "going!" na kwa serikali, the issue ni ya Kibanda, na kwao its still "tough!". Subirieni picha na mchezo utakavyo geuka, "When the going gets tough, the tough gets going!" wapenzi, wanachama na washabiki wa Chadema, itakuja kunielewa nina maanisha nini with "the motive behind", kila nikiuliza hakuna anayejibu!.
Pasco.

Dr.Slaa na Mbowe hata wakamatwe....CHADEMA haitokufa...
 
I'm Speechless!.
Ila pia tumepiga hatua kubwa sana za kimaendeleo ya kimawasiliano na kisheria, ambapo mawasiliano ya simu binafsi za watu ambayo ni siri, na yamepatikana kinyume cha sheria, yanapowekwa wazi kwa waandishi wa habari pamoja na namba za simu!, haya ni maendeleo makubwa sana kimawasiliano!.

Pia kwa kawaida, maombi huwasilishwa kwanza mahakamani ndipo umma ukatangaziwa ni maombi gani yamewasilishwa, lakini sasa kumbe unaweza kuwasilisha maombi kwa kuwatangazia wanahabari, hadi clasified information ulizonazo, ambazo zimepatikana kinyume cha sheria, kwa kutangaza details za hizo info, na ndipo kuziombea rasmi kibali cha mahakama ili ziwe releazed legally, haya pia ni maendeleo makubwa katika tasnia ya sheria!.

Kiukweli hii ni very high profile case, nadhani kwa kumbukumbu zangu, it the highest kwa hapa nchini, kwa mshatakiwa mmoja, kutetewa na mawakili 7!, wakati mshtakiwa mwenza bado hana wakili hata mmoja!.

Please watch out kwa twists and turns za hii kesi hapo mahakamani hiyo kesho!, mambo matatu haya yanaweza kutokea.

  1. Kesi inaweza kufutwa na kufunguliwa upya, washtakiwa wakaongezeka au kupunguzwa ukiwemo uwezekano mkubwa sana wa Ludo kuondolewa mashtaka na kugeuzwa shahidi No.1 wa serikali!.
  2. Kesi inaweza kufutwa na kufunguliwa upya ikijumlisha kosa la utekaji wa Kibanda.
  3. Kesi mpya ya shitaka la Kibanda inaweza kufunguliwa au hivyo kuzifanya hizi kesi kuwa ni kesi mbili tofauti.
  4. Kesi inaweza kuendelea kutajwa kama kawaida bali kwa kuongeza mshakiwa yule "Bukoba Boy!".
  5. Lolote kati ya hayo linaweza likafanyi, au yote yakafanyika au yote yasifanyike!.

Pasco.

...hapo kwenye red bolded...kwa nini unapenda kudanganya wenzio???
 
Hakuna kulala aiseee! Jaman mi naomba maelezo ya uwepo wa hiyo no# ya Zitto ambayo inatumiwa na Jack Zocka.
 
Last edited by a moderator:
Mmetumwa na bado mengi yatajulikana

nani katumwa sasa humu hoja za raia wema tu kama wewe umetumwa utaumwa humu jf make watau wanafuguka kweli kweli kama unapresha ondoka mapema make utazima na mwaka huu mnalo na hamtoki ktk hili la ugaidi make mpaka malando anatunga uongo unafikili masihala.
 
Uzuzu na ulimbukeni wa Mwigulu kwenye siasa unakigarimu Ccm na serikali ndio mana huwezi kuwasikia wana CCM makini kama Dr. Salim wanapayuka manake siasa zimevamiwa na majuha, hadhi ya siasa kwa Tanzania ni kama mwanamke malaya, Too low for ccm. Usanii ni mufilisi###Jk### Just Joking President### is walking in the Statehouse without the business##
 
Nilikuwa mwanaCCM zamani ,kuanzia leo mimi ni CHADEMA .Tuangalie ukweli ndugu zangu.Hivi haya mambo ya kubambikiwa yalikuwepo na sasa ndio silaha ya mwisho ya CCM.Jamani CHADEMA NI MAKINI SANA.TUACHE USHABIKI.NAVAA GWANDA LEO HII

karibu kundini! Hope hutakuwa na akili kama ya Mtela na July
 
Chadema inaelekea kusambaratika. It's time tu

yamkini unasema ukweli maana hizi harakati zao za majimbo mara m4c zinawaua kabisa au................ !!!!!!!!

loading.................... chenga tupu !!!!!
 
Hivi mwigulu ndio aliweka hayo maneno mdomoni mwa Lwaka? Wamekaa kujadili walio rekodi badala ya kujieleza juu ya huo ugaidi waliokua wanaufanya. Watakuja na maelezo ya kila aina lakini mwisho wake ni mbowe na slaa kunyea debe
 
Uzuzu na ulimbukeni wa Mwigulu kwenye siasa unakigarimu Ccm na serikali ndio mana huwezi kuwasikia wana CCM makini kama Dr. Salim wanapayuka manake siasa zimevamiwa na majuha, hadhi ya siasa kwa Tanzania ni kama mwanamke malaya, Too low for ccm. Usanii ni mufilisi###Jk### Just Joking President### is walking in the Statehouse without the business##

wewe acha kutukana wanawake kumbuka unamzazi mmoja mwanamke kama ya kuchangia yameisha kalale kuliko kuanza kutukana.
 
Ni muhimu kwa wanachi kujua kwaza alaf tukienda mahakamani napo mambo yana mwagwa!

Ni vizuri watu wakajua kinacho endelea mapema maana watu hawata pata habari za mahakamani kwa kina namna hii!

Ruttashobolwa, I remind you once more: CHADEMA si chama makini.
 
Ndio maana umeambiwa wako makini ten times better!
Ni suala la muda....hayo uliyouliza walishajipanga kukabiliana nayo...
Ushahidi hawajautoa...ushahidi ni maneno yaliyomo kwenye mawasiliano.

Hiyo ni kutafuta public sympathy tu kijana zinduka. Wanasiasa watawachezea mpaka basi!
 
Siamini malando na utu uzima wake amekuwa muongo kiasi hiki kweli alichokiandika ni uongo mtupu kweli Huyumzee kazeeka vibaya hivi naomba nisaidieni Huyu mzee hapo awali alishaitupa kufanya kazi wapi? Mi nimemfaham akina CDMA make wengine hufanya haya kwa Kuwa hawakustaa fu visiting kwa hiyo hiyo ni hasira tu.



tulia.....vuta pumzi.....shusha mapigo yako ya moyo....then sema ulichotaka kusema ili ueleweke. Sio unaongea km unakimbizwa
 
Hivi Mwigulu, Ludo, Msaky wapo usalama wa taifa? Kama sio usalama inakuwaje watu wa usalama kufanya mission na watu ambao hawako kwenye kampuni? Hivi kweli usalama ndio wanafremu picha ya kijinga namna hii, mbona Ludo alikuwa hana cover yoyote, mi nadhani Mwigulu badala ya kujenga Chama chao ndio anakibomoa kabisa
 
Mkuu,

Kucheza na hizo taarifa bila kuacha traces siyo rahisi hivyo.

Hayo maneno aliyasema DR Slaa siku moja baada ya Lwakatare kukamatwa. Kilichofuata baadae si ulikiona? Jamaa anakula bata tu gerezani.

Wanachowafanyia CCM ni kuwa keep busy, mnajiona mmeraba dume kumbe garasa!

CHADEMA sio chama makini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom