Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Status
Not open for further replies.
Mpaka uchaguzi wa ndani ya cdm ufike atakua kabaki Zitto peke yake,babu na marienge watakua wananyea debe. Amakweli Zitto kiboko, tutakuja kusikia na Mtei kabebeshwa kesi
 
Mungu alituletea JK kwa maana kamili, Akatuletea Mzee Makamba sasa anakamilisha kazi ya Ukombozi kutuletea Mwigulu Nchemba na Nape ukombozi umekaribia na njia ni nyeupe.

Utendaji wa hawa tajwa umeidhihirisha CCM na madudu yake, ukosefu wa utu, unyama na matumizi mabovu ya kupindukia ya vyombo vya usalama. Mauaji ya raia na mateso kwa watanzania. ninawaomba tufanye na uchunguzi wa matukio yote ya halaiki kuanzia kumwagiwa tindikali sheikh, kuchomwa kisu sheikh, kuchinjwa mchungaji na kupigwa risasi mapadre inawezekana hili genge liko nyuma ya haya yote ili kuvuruga amani ya nchi yetu.

Fujo zote na uchomaji wa nyumba za ibada inawezekana kana kabisa hawa watu wanamkono wao huku ni muhimu uchunguzi wa kina ukafanyika ili kuweza kubaini kila janga ambalo lilikuwa kwa ajili ya kupaka matope ama dini, chama cha siasa, kabila, nk.

Mungu ni mwema sana, huwa hawaachi wema wateseke siku zote. Sasa tutashuhudia mitambo ya simu ikitetereka, tutawahi sattelite najua bado tunatumia za wazungu. Wakati umefika kila raia mwenye mapenzi mema na nchi yake atoae taarifa yeyote pale alipo anachokiona na kinachofanywa na hawa majangili wa demokrasia. Tunajua wapo wengi wema TISS, wapo wengi wema polisi, wapo wengi kwenye kampuni za simu na ikulu. Wakati umefika kuitumikia nchi kwa uadilifu badala ya tumbo. Kama leo wameweza kuuwa ili wabaki Ikulu kesho wanaweza kukuuwa wewe usiwachekee hata kidogo toa taarifa mapema ili ushindi uwe wetu wote.

Mungu yupo nasi daima.
Daima zilizomwagika, walioko jela na wanaoteswa hakika haitapotea kamwe.
 
Hivi mwigulu ndio aliweka hayo maneno mdomoni mwa Lwaka? Wamekaa kujadili walio rekodi badala ya kujieleza juu ya huo ugaidi waliokua wanaufanya. Watakuja na maelezo ya kila aina lakini mwisho wake ni mbowe na slaa kunyea debe

mbowe na slaa ndo madereva katika hili na lazima wajumuishwe ndo maana wanahaha kila kukicha kuibua sinema mbalimbali kwa lengo la kupotosha ila wasipohonga mahakamani hawatoki ila kwa vile kunazile hela walizopewa na wadernmark watazipeleka zote kuhonga mahakama ili wapendelewe make ndo zao kuhonga.
 
kumbuka wanoua ni chadema na walianzia kwa chacha wangwe na wanaendelea.
 
Hiyo ni kutafuta public sympathy tu kijana zinduka. Wanasiasa watawachezea mpaka basi!

Siwezi nikachezewa na wanasiasa kama wewe that's why i dont rush to conclusion...nasoma na kuelewa then kujipa muda..haraka ya nini? hisia za nini?
 
Masikini JF!...Marando kiboko...wakati wengine wanashughulisha akili zao na data alizozitoa, akili zao wamezifungia kabatini kuhusu data ambazo kwa makusudi mazima hakuzitoa! Hizi mbona ni rasharasha tu, mawingu tayari yametanda na mvua zenyewe za masika zinagonga hodi...ole wako zikukute barabarani! Hilo jopo ni indiketa tu ya wapi mambo yanakoelekea....usalama gani wa taifa unaorekodiwa bila wao kujua?
 
si kila mtu anapenda dhuluma. mchemba na zoka hawana ubinadamu. mwigululu cha kusikitisha kaapa mpaka kwa mungu bungeni huku akijua wazi kwamba anahujumu watu kwa uongo na kuuwa waandishi wa habari wanaosema ukweli. kulikuwepo serikali dhalimu kama baberi, umedi na uajemi, uyunani na upapa wakiua watu lakini leo wapo wapi?mamlaka zao ziliondolewa na mungu. upapa upo lakini bado hauna nguvu kwa sasa labda kwa baadaye. kikwete si anamaliza muda wake anatafuta nini tena mpaka aruhusi vikosi vya kina zoka na mwigulu kwa ugaidi wa aina hii?wenzako kina mwinyi na mkapa wanaheshimiwa walimaliza urais kwa amani. shauri yako utaingiza nchi kwenye mgogoro mkubwa lakini jua kwamba na wewe hutapona. mimi namshauri rais wangu kikwete ondoka kwa amani mwaka 2015 iache demokrasia ifanye kazi kwa amani na wewe ubaki katika ushauri. nashangaa kumbe ridhiwani naye ni hatari sikujua hapo awali leo nimeelewa vizuri
 
Nimeipenda sana hii kauli isemayo Chadema ni chama Makini chenye MTANDAO MKUBWA KUANZIA IKULU HADI MAKAO MAKUU YA POLISI!!

Nasema na bila kuogopa hata uongozi wa Jf mkinifungia siogopi kwani hata nyie mnatumika na Hawa Majambazi CCM,,... MWIGULU MZINZI Ndie atakae sababisha umwagaji wa Damu nchi hii!!

Ingekua! Amri yangu huyu ni wa kutafutiwa watoto wa Mjini wamle "TIGO" Ili aache kimbelembele!!

Huyu jamaa anakuaga na Nyege [muasho fulani] za Mdomoni ndio maana yeye hana kazi nyingine zaidi ya kupanga Mauaji!!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!
 
Naona hii kesi ataisikiliza Marando na kuihukumu mwenyewe. Katika maelezo yote, hakuna popote anapozungumzia ile record ya Lwakatare Kama ni fake au ni ya kweli. Hivi hayo maneno aliyoyasema ni yake au aliwekewa mdomoni na usalama wa Taifa. Hivi hizo namba za simu anazotangaza ame record Kama video ya Lwakatare, au ni namba tu. Kama ni namba tu itasaidia nini kuthibitisha kwamba wenye hizo namba walikuwa wanawasiliana kuhusiana na suala Hilo na si vinginevyo. Suala hapa ni Hoja na ushahidi, wingi wa maw akili siyo Hoja . Pole sana shushu shu Marando , kazi unayo.
 
Mkuu Artorius, kama una uwezo to read in between the lines, authenticity ya video hapa haijazungumziwa tena!. Wameisha jiridhisha it is "bonafide genuine!" kitachotafutwa sasa ni kumnasua tuu Rwakatare kwa kujenga hoja mchezo mzima ulikuwa ni mtego wa TISS, wakimaanisha Ludo, Msaki, Mchemba na vijana wao lao ni moja, Rwaka ndio oddman out!.
Pasco.

Pasco mimi sio gamba lakini hizi hoja unazotoa ziko makini. Katika press waliyofanya CHADEMA, inaonekana dhahiri kwamba wamekubali ile kitu iko bonafide genuine.

Catch iko hapa: watamtoaje kwamba Lwakatare hahusiki? Ndio maana sasa wamerukia namba za simu na kuunga story.

Huo ushahidi ungekuwa tangible, CDM wangekaa kimya kuwa supprise Mwigulu and his friends!

Lissu alisema kesi ya Lwakatare haiwezi kuchukua nusu saa, lakini mpaka sasa nafikiri kuna kila dalili inaweza kuchukua miaka kadhaa!
 
Mkuu Sokoine jf haihusiki kabisa soma vizuri habari uone! Utakuwa unawaonea bure kusema hivi!

Nimeipenda sana hii kauli isemayo Chadema ni chama Makini chenye MTANDAO MKUBWA KUANZIA IKULU HADI MAKAO MAKUU YA POLISI!!

Nasema na bila kuogopa hata uongozi wa Jf mkinifungia siogopi kwani hata nyie mnatumika na Hawa Majambazi CCM,,... MWIGULU MZINZI Ndie atakae sababisha umwagaji wa Damu nchi hii!!

Ingekua! Amri yangu huyu ni wa kutafutiwa watoto wa Mjini wamle "TIGO" Ili aache kimbelembele!!

Huyu jamaa anakuaga na Nyege [muasho fulani] za Mdomoni ndio maana yeye hana kazi nyingine zaidi ya kupanga Mauaji!!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!
 
Last edited by a moderator:
Makubwa haya, yetu macho na masikia, midume miwili inashindana sisi tunapata mafua kwa vumbi
 
Mpaka uchaguzi wa ndani ya cdm ufike atakua kabaki Zitto peke yake,babu na marienge watakua wananyea debe. Amakweli Zitto kiboko, tutakuja kusikia na Mtei kabebeshwa kesi

ivi mnakuwaga mmelewa ee MACHEPELE..naona leo umelipwa mara dufu maana wewe na m23 mnakesha humu kinoma..jaribu hata kumsikiliza mwanao aliekushauri uwakimbie ccm
 
Good news for today, ukijua jambo hofu ya nn Marando na tutawaona watalavyokuwa mabubu mahakaman ..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom