msingeweka ushahidi mzito kama huu kwenye mtandao....nani ajuaye atakayehonga Vodacom wasitoe ushirikiano?
Hapa JF hii namba anayetumia simu Na. 255756xxxxx imekuwa hided lakini kwenye Chadema Blog: TAMKO LA CHADEMA KUHUSU NJAMA ZA KUKICHAFUA ZINAZOFANYWA NA GENGE LA VIONGOZI WAKUU WA CCM NA VYOMBO VYA DOLA, LIMETOLEWA JIJINI DAR ES SALAAM LEO, APRILI 14, 2013 NA MJUMBE WA KAMATI KUU NA MWANASHERIA WA CHAMA, MH. MABERE NYAUCHO MARA , namba yenyewe ni hii hapa (anayetumia simu Na. 255756809535) kwa kutumia M-PESA inaonekana namba hii imesajiliwa kwa JINA LA ZITTO ZUBERI hii imeakaaje?
Mohamedi Mtoi na Edwin Mtei hii namba mmeifanyia kazi?
Mkuu Atongwele, mimi sinashaka kabisa kuhusu authenticity ya ile video, natatizwa na jambo moja tuu "The Motive Behind!" baasi!. Chadema badala ya kukanusha "the motive behind" hiyo video, wako bize na ukachero wa utengenezwaji na upatikanaji!, Ludo akikiri na kukubali ku confess, atageuzwa shahidi number moja wa Jamhuri na picha itageuka!, inaweza asiwe tena ni Rwaka peke yake!, mnaweza msiamini!, nawashauri subirieni!, tunazungumza hapa as if ni utani, kwa sasa kwa Chadema, the issue ni video tuu, na kwao, this is just the "going!" na kwa serikali, the issue ni ya Kibanda, na kwao its still "tough!". Subirieni picha na mchezo utakavyo geuka, "When the going gets tough, the tough gets going!" wapenzi, wanachama na washabiki wa Chadema, itakuja kunielewa nina maanisha nini with "the motive behind", kila nikiuliza hakuna anayejibu!.Ni kutokana na ukweli kuwa ile video ni bonafide genuine ndiyo maana chadema wanaweweseka na wanatumia nguvu nyingi kumtetea lwaka. Hii ni kesi ya aina yake na itakuwa ni aibu kubwa kwa chadema wakishindwa maana wamechukua wanasheria wao wote. Ila naamini kwa sasa wanacheza na techinicalities ili kuhakikisha kuwa wanashinda kutokana na mwanya unaojitokeza
Mohamedi Mtoi, wa CDM naye anahusika na haya mambo ya utekaji nyara.
ndio hivyo mkuu, chadema wanazo details zote za mawasiliano, hapo wanachotaka ni ku cross check tu!
Nilikuwa mwanaCCM zamani ,kuanzia leo mimi ni CHADEMA .Tuangalie ukweli ndugu zangu.Hivi haya mambo ya kubambikiwa yalikuwepo na sasa ndio silaha ya mwisho ya CCM.Jamani CHADEMA NI MAKINI SANA.TUACHE USHABIKI.NAVAA GWANDA LEO HII
Mbona sioni pahala ambapo zitto zuberi kabwe anatajwa? Au ni mtego utakaomnasa mbele ya safari automatically?
Mkuu Atongwele, mimi sinashaka kabisa kuhusu authenticity ya ile video, natatizwa na jambo moja tuu "The Motive Behind!" baasi!. Chadema badala ya kukanusha "the motive behind" hiyo video, wako bize na ukachero wa utengenezwaji na upatikanaji!, Ludo akikiri na kukubali ku confess, atageuzwa shahidi number moja wa Jamhuri na picha itageuka!, inaweza asiwe tena ni Rwaka peke yake!, mnaweza msiamini!, nawashauri subirieni!, tunazungumza hapa as if ni utani, kwa sasa kwa Chadema, the issue ni video tuu, na kwao, this is just the "going!" na kwa serikali, the issue ni ya Kibanda, na kwao its still "tough!". Subirieni picha na mchezo utakavyo geuka, "When the going gets tough, the tough gets going!" wapenzi, wanachama na washabiki wa Chadema, itakuja kunielewa nina maanisha nini with "the motive behind", kila nikiuliza hakuna anayejibu!.
Pasco.
Cdm sasa imeonyesha dhairi ili suala la lwakatare linawachanganya kichwa
.siku ya mwanzo tumemsika DR Slaa akiweweseka sana kuhusu swala hili leo tunamsikia Mabere Marando tena anafuata huko huko inaonyesha dhairi swala hili lina ukweli ndani yake, maana amejaribu kuandika no za watu na majina ya watu akiwashutumu kushiriki suala hili wakati tukitambua kuwa majina na no za watu sio siri kila mtu anaweza kuwa nayo na kuwasiliana amefanya hivi ili wananchi waamini kuwa cdm wanaonewa kama yeye na wenzake ni wanasheria wazuri kwanini wanakimbilia kwa wana habari ili wawasafishe kwa uma
.Kwa video ni dhairi kwamba Lwakatare kausika hakuna editing yeyote kwani kila mtu sasa anaupeo mzuri wa kufikiri na kutafakari jambo; kwanini muweweseke kama mmesingiziwa
CHADEMA ACHENI KUWAFANYA WATANANIA KUWA NI WAJINGA KILA OVU MNALAFANYA MNATAKA WATANAZANIA WAJUE KUWA MMEONEWA KWA HILI HATUKO TAYARI KUAWAUNGA MKONO
Upuuzi tu! CHADEMA acheni kuweweseka, ukweli wote utajulikana mahakamani.
Kama mna uhakika hamna hatia kwanini mnaweweseka hivyo? Tulieni.
Tumechoshwa na matamko yenu ya kipuuzi.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kwa ambao hamjui, huwezi kutumia information ambayo umeipata kwa kutumia njia zisizo halali mahakamani.
Hapa hata CHADEMA wawe na hizi taarifa kama hawajazipata kwa njia halali kwa kuomba kisheria toka mashirika ya simu, hizo information haziwezi kutumika mahakamani.
Kibaya zaidi wakijaribu kuzitoa na kuwataja waliowapatia TCRA itakuwa imepata sababu ya kuwachukulia hatua.
Hii habari nzima ni propaganda ya kisiasa na haina nguvu kabisa kisheria.
Haya maelezo meeeeengi hayaondoi content ya video ya lwakatare
Mkuu Investa, zile number zote zilizotajwa ni za vijana tuu wa kazi, wao wakishamaliza ndio wanakuja kuripoti kwetu!, ofisi yangu iko pale nyuma ya St. Peter lile jengo jipya mithili ya meli, karibu unitembelee, pale ila usiniulizie kwa jina hili la jf, pale natumia jina la kazini, naitwa chifu!, ukifika tuu getini, ukisema wewe ni mgeni wa chifu, hutaulizwa chochote, utapitishwa ndani, ndipo nitaitwa na nitakutembeza tembeza sehemu mbalimbali!, hadi desk la jf, nitakuonyesha majina halisi ya vimbelembele wote hadi locations na ip address zao!. Karibu sana!.Pasco nawe namba yako ni ipi? Kati ya alizotaja mabere? Maana inaonekana kuna jambo zito walijua ila hutaki kulisema kwa sasa.
Wana JF jihadharini sana, maana inaonekana genge la magaidi lina mtandao mpana sana.