Zogolo1550
Member
- Dec 2, 2018
- 32
- 15
Nawasihi sana kukata miti iliyo karibu na nyumba au umeme/ nguzo kwa kipindi hiki cha mvua iliyoambata na upepo.
Leo maeneo mbalimbali Dar es Salaam miti imeleta maafa makubwa kwa mfano nyumba mbili zimeangukiwa na miti maeneo ya Mbezi Makabe na maeneo ya Sinza mti umeangukia gari iliyokuwa imeegeshwa.
Miti hatari zaidi ni aina ya galveria kwani ni rahisi kun'goka inapopigwa upepo.
Nimejua hayo kwasababu Mimi ni mtaalamu wa kukata miti kwa kutumia machine (chainsaw) kwahiyo unajua jinsi niliyohangaika leo kuokoa maisha ya watu!
Leo maeneo mbalimbali Dar es Salaam miti imeleta maafa makubwa kwa mfano nyumba mbili zimeangukiwa na miti maeneo ya Mbezi Makabe na maeneo ya Sinza mti umeangukia gari iliyokuwa imeegeshwa.
Miti hatari zaidi ni aina ya galveria kwani ni rahisi kun'goka inapopigwa upepo.
Nimejua hayo kwasababu Mimi ni mtaalamu wa kukata miti kwa kutumia machine (chainsaw) kwahiyo unajua jinsi niliyohangaika leo kuokoa maisha ya watu!