Tabia hizi zina kera watu wengi

Tabia hizi zina kera watu wengi

Tabia hizi zina kela watu wengi

1) Mtu anaekula na unamsikia kabisa anavyo tafuna Mdya mdya mday

Hii sio sawa tena mbele za watu ase

2) Unywaji wa chai hii shida ya taifa anaivuta kabisa fvuuuu fvuuu

Inashusha heshima sana unakuta mtu kaulamba vizuri unywaji wa chai ndio uho

3) Mtu anae koloma
Kuna watu wanakoloma vibaya mnoo kama generata bovu au gari moshi ase

4) Kucheka kuna watu baada ya kucheka mnachekesha watu yaani mnacheka vibaya sana mtoto wa kiume au wakike unacheka unajiachia mdomo wazi mpaka unalushia watu mate vibaya hii

Ongezea yako nyingine
Unamuheshimu mtu vizuri halafu unakuta ni shabiki la utopolo kwa kweli inatia hasira😥
 
Mwenye nyumba au frame kuja kila mara na kukuomba umkopeshe na usipo mpa next time anakuzoea kuja kuuliza biashara inaendaje yanakhihusu nini
 
Tabia hizi zina kela watu wengi

1) Mtu anaekula na unamsikia kabisa anavyo tafuna Mdya mdya mday

Hii sio sawa tena mbele za watu ase

2) Unywaji wa chai hii shida ya taifa anaivuta kabisa fvuuuu fvuuu

Inashusha heshima sana unakuta mtu kaulamba vizuri unywaji wa chai ndio uho

3) Mtu anae koloma
Kuna watu wanakoloma vibaya mnoo kama generata bovu au gari moshi ase

4) Kucheka kuna watu baada ya kucheka mnachekesha watu yaani mnacheka vibaya sana mtoto wa kiume au wakike unacheka unajiachia mdomo wazi mpaka unalushia watu mate vibaya hii

Ongezea yako nyingine

Tabia ya mtu kuandika kama anakimbizwa inakera watu wengi sana

Mfano wewe Mwachiluwi uandishi wako unakera kinyama...nakuvutia kasi nikuongeze kwenye ignore list

Kukutana na mtu mzima anayeandika maneno kama kukoloma ni ujinga mtupu...eti UHO
 
Mwenye nyumba au frame kuja kila mara na kukuomba umkopeshe na usipo mpa next time anakuzoea kuja kuuliza biashara inaendaje yanakhihusu nini
Hao wenyenyumba mnawakutaga wapi
 
Tabia ya mtu kuandika kama anakimbizwa inakera watu wengi sana

Mfano wewe Mwachiluwi uandishi wako unakera kinyama...nakuvutia kasi nikuongeze kwenye ignore list

Kukutana na mtu mzima anayeandika maneno kama kukoloma ni ujinga mtupu...eti UHO
Sawa
 
Back
Top Bottom