Tabia hizi zina kera watu wengi

Tabia hizi zina kera watu wengi

Kuna watu wa ajabu sana, mtu anashika pua moja anapenga kamasi kisha anajifuta mikono kama vile anapaka mafuta......pyaaaa kinyaa sana kinyaaa balaa
Kuna wale wanachokonoa pua na kidole halafu ni wakwanza kutoa salamu ya kushikana mikono
 
Wale wanaandika
1.LOHO badala ya ROHO
2.KALATASI-KARATASI
3.OHU -HUO
 
Tabia hizi zina kela watu wengi

1) Mtu anaekula na unamsikia kabisa anavyo tafuna Mdya mdya mday

Hii sio sawa tena mbele za watu ase

2) Unywaji wa chai hii shida ya taifa anaivuta kabisa fvuuuu fvuuu

Inashusha heshima sana unakuta mtu kaulamba vizuri unywaji wa chai ndio uho

3) Mtu anae koloma
Kuna watu wanakoloma vibaya mnoo kama generata bovu au gari moshi ase

4) Kucheka kuna watu baada ya kucheka mnachekesha watu yaani mnacheka vibaya sana mtoto wa kiume au wakike unacheka unajiachia mdomo wazi mpaka unalushia watu mate vibaya hii

Ongezea yako nyingine
Kuna ile ya mtu ana chew (kutafuna) chakula kingi kuliko uwezo wake, shit is irritating asf.
 
Back
Top Bottom