Tabia hizi zina kera watu wengi

Tabia hizi zina kera watu wengi

Mibado naishi kwa shemeji hapa town, sema kelele za dada na shemeji usiku hua zinanikera sana nikiwa nimelala sebleni hadi naamua kuwasha Tv usiku wa manene..☹️
 
Kuna watu wa ajabu sana, mtu anashika pua moja anapenga kamasi kisha anajifuta mikono kama vile anapaka mafuta......pyaaaa kinyaa sana kinyaaa balaa
Unakuta kamasi la kijani Halafu anakupa mkono akusalimie😏
1000033107.jpg
 
VYUMBA VYA KUPANGA VILIVOKARIBIANA RAHA MPEANE NYIE KERO KWA WENGINE UNAKUTA MTU ANAPIGA MAYOWE HATA UFUNGULI REDIO SAUTI KUBWA BADO KELELE UNAZISIKIA KWANINI MSIFANYE KIMYA KIMYA HII ILIKUWA INANIKERA SANA MIAKA HYO.
Jamaa aliacha chumba wazi 2012,bahati mbaya majirani wakati tunatoka toka ile asubuhi wanakulana na pisi yake sijui waliwehuka wale watu.
Ghafla akaja rafiki wa Binti kaingia moja kwa moja ndani naye hakutoka ikaendelea miguno huku wakiwa wamerudisha tu mlango.
Wapangaji wakaa kikao na mwenye Nyumba wakatimuliwa😀😀😀
 
Mibado naishi kwa shemeji hapa town, sema kelele za dada na shemeji usiku hua zinanikera sana nikiwa nimelala sebleni hadi naamua kuwasha Tv usiku wa manene..☹️
Si uhame 😂
 
Jamaa aliacha chumba wazi 2012,bahati mbaya majirani wakati tunatoka toka ile asubuhi wanakulana na pisi yake sijui waliwehuka wale watu.
Ghafla akaja rafiki wa Binti kaingia moja kwa moja ndani naye hakutoka ikaendelea miguno huku wakiwa wamerudisha tu mlango.
Wapangaji wakaa kikao na mwenye Nyumba wakatimuliwa😀😀😀
Sasa uho ni wivu na chuki
 
Hapo kwenye kula hasa sisi men sahau, utafunaji au unywaji kama tupo kempiski hatuna kwakweli hizo achia kina dada,

Ni kutafuna kwanju kwanju, huku unalamba vidole 😂

Sipend kula na mtu mim coz watu wana ulaji wa kipekee
 
Back
Top Bottom