Tabia hizi zina kera watu wengi

Tabia hizi zina kera watu wengi

Kabla ya kuzoeana ulikua unapendeza vizuri tu tumezoeana unaanza kuvaa madera yako ambayo hayaeleweki, Khanga imepaukaa na nywele zako kitimtim kama kichaa yuko Halftime.
sasa si kasha kuzoea
 
Mtanzania tena anaeonekana mzawa kabisa kushindwa kutofautisha herufi.

Kwenye R anaweka L kwenye L anaweka R alimradi vurugu,inakera sana ondoa kwanza boriti ndiyo uone kibanzi kwenye jicho la mwenzio
 
Mtanzania tena anaeonekana mzawa kabisa kushindwa kutofautisha herufi.

Kwenye R anaweka L kwenye L anaweka R alimradi vurugu,inakera sana ondoa kwanza boriti ndiyo uone kibanzi kwenye jicho la mwenzio
Hiyo kawaida sana kutokana na lafudhi
 
Tabia hizi zina kela watu wengi

1) Mtu anaekula na unamsikia kabisa anavyo tafuna Mdya mdya mday

Hii sio sawa tena mbele za watu ase

2) Unywaji wa chai hii shida ya taifa anaivuta kabisa fvuuuu fvuuu

Inashusha heshima sana unakuta mtu kaulamba vizuri unywaji wa chai ndio uho

3) Mtu anae koloma
Kuna watu wanakoloma vibaya mnoo kama generata bovu au gari moshi ase

4) Kucheka kuna watu baada ya kucheka mnachekesha watu yaani mnacheka vibaya sana mtoto wa kiume au wakike unacheka unajiachia mdomo wazi mpaka unalushia watu mate vibaya hii

Ongezea yako nyingine
Anhaa! Nawewe unakera maana hujui matumizi ya "L" na "R".
Hivyo rudi shule haraka iwezekanavyo kabla hujaendelea kutukera zaidi!.
 
Back
Top Bottom