Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 59,039
- 69,463
Ngoja Aje Akujibu Maana Inasikika Mpaka Mwanza, Geita, ShinyangaHivi beata peter kisaka bado yupo radio kwizera?
Kitambo sana hiio radio
Ngoja Aje Akujibu Maana Inasikika Mpaka Mwanza, Geita, ShinyangaHivi beata peter kisaka bado yupo radio kwizera?
Kitambo sana hiio radio
TCRA wapo bize kupambana na channels za pilau huku nchi ikichafuliwa na propaganda chafuJioni hii nilikuwa nasikiliza habari za dira ya dunia nimemsikia muandishi wa habari David Nkya, akisema yupo kambi la wakimbizi la Mtendeli iliyopo Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma
Kwanza hilo kambi halipo, tulilifunga miaka mitatu iliyopita. Akaongeza uongo wake kuwa Tanzania ina makambi matatu ya wakimbizi wakati ni mawili tu.
Wiki iliyopita mtangazaji huyu huyu alisema Kambi la Nyarugusu limepoke wakimbizi zaidi ya 12,000 kutoka DR- Congo! Wakati uhalisia ni kwamba, Hadi Leo tarehe 1, wakimbizi tuliowapokea hawafiki hata 9,000.
Najiuliza tu, Hizi contents za uongo za BBC zinamnufaisha nani?
Hii inaingia akiliniHuenda hizo ndio Data alizopewa na kwenye vitabu vya misaada (wapigaji) kuna pesa inayoletwa ili kuhudumia hizo Kambi tatu na hao wakimbizi zaidi ya 4000 ambao hawapo (pesa zinahudumia matumbo ya watu)