TAARIFA: Wapendwa nimerudi..

TAARIFA: Wapendwa nimerudi..

Asante sana mkuu, ila habari ya ukaguzi iko nje ya kurasa za katiba yangu, nadhani hiyo makitu iko kwa mzee wa maternity ward Asprin, kwangu vgezo vikizingatiwa sina objection

Hapo kwenye vigezo ndio ninapopasimamia! Nimemwambia huyo passion lady kwamba hawezi kuolewa bila taarifa za ukaguzi kuletwa kwako. Cha ajabu hata Ruttashobolwa nae anashindwa kutii sheria bila shuruti! Wameshindwa kumheshimu hata Asprin
 
Last edited by a moderator:
Hivi tunakuwaje na mwenyekiti wa kamati ambae kila siku yuko jela, ni mhalifu sugu mwenye sugu?
Ngoja niandae pettition, kaa chonjo!

Mostly ma'mtu ma'Hero na mapiganaji ndiyo huaga kihivi Bi'dada !
Refar Mz. Madiba na Roben Prison! Walter Sisulu , Ken Sarowiwa na wafananao na hao.
Kwa kuji sakrifais kwao impakti badae .
 
Last edited by a moderator:
hatimaye mwana mpotevu mwingine karejea jamvini humu
karibu sana Erickb52
mwambie aliyekukamata akuachie bana
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwenye vigezo ndio ninapopasimamia! Nimemwambia huyo passion lady kwamba hawezi kuolewa bila taarifa za ukaguzi kuletwa kwako. Cha ajabu hata Ruttashobolwa nae anashindwa kutii sheria bila shuruti! Wameshindwa kumheshimu hata Asprin

Unajuaje..!!? ninavyomjua Asprin ni kuwa kabla mtu hajatinga chit chat huwa tayari keshakagua, pale ID inaposubiri verification yeye ndo huwa anamalizia pale
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom