TAARIFA: Wapendwa nimerudi..

TAARIFA: Wapendwa nimerudi..

Nimetoka jela muda si mrefu wapendwa, naenda kuoga then nakuja jamvini.Stay tuned..!!

Tarehe 4 / 3 March ntakuwa mjini, ntakuja angalau nikutoe upunguze machungu ya huko ulikokuwa.
Arushaone nitadhuru ARK kuanzia tar 28 mwezi huu. ntakuona na wewe pia
 
kuna jela za aina nyingi embu funguka ukumbuke kubadilisha na suti
 
Pole sana mkuu,sijui ulihukumiwa huku CC au siasa?
 
Aisey Baba v !
Kwanza pole sana, pili mie siku nimekucretia Sredi, tena kwenye headin nikaweka na jina lako (ifanyie fall'up backdates utaipata) kumbe maskini ikakuta soon past ndiyo wenye mandate washa kutenda! Pole mkulu !
Inasemwa UKIMUONA MREFU ANAZAMA! MFUPI USIMUULIZIE KWANI ATAKUA KESHADEDI .
 
Nimetoka jela muda si mrefu wapendwa, naenda kuoga then nakuja jamvini.Stay tuned..!!

Karibu tena Baba V, We really missed you aisee, vipi huko? uache kuwapa watu za uso na za pua usije ukarudi lupango.
 
Last edited by a moderator:
Karibu tena Baba V, We really missed you aisee, vipi huko? uache kuwapa watu za uso na za pua usije ukarudi lupango.

Nashukuru sana shem wangu, tatizo ni kwamba kuna wapuuzi wakiona tuko kimya wanadhani wako peke yao, ndo maana inatubidi wakati flani wajue kuwa tupo na wawe na heshima, pamoja sana wangu
 
Last edited by a moderator:
Aisey Baba v !
Kwanza pole sana, pili mie siku nimekucretia Sredi, tena kwenye headin nikaweka na jina lako (ifanyie fall'up backdates utaipata) kumbe maskini ikakuta soon past ndiyo wenye mandate washa kutenda! Pole mkulu !
Inasemwa UKIMUONA MREFU ANAZAMA! MFUPI USIMUULIZIE KWANI ATAKUA KESHADEDI .

Kaka nitaitafuta mkuu, nimerudi pamoja sana...
 
Tarehe 4 / 3 March ntakuwa mjini, ntakuja angalau nikutoe upunguze machungu ya huko ulikokuwa.
Arushaone nitadhuru ARK kuanzia tar 28 mwezi huu. ntakuona na wewe pia

Karibu sana mkuu, utatukuta makirikiri kama kawa kama dawa
 
Tarehe 4 / 3 March ntakuwa mjini, ntakuja angalau nikutoe upunguze machungu ya huko ulikokuwa.
Arushaone nitadhuru ARK kuanzia tar 28 mwezi huu. ntakuona na wewe pia

Karibu sana mkuu chardams, twakungoja kwa hamu!
 
Last edited by a moderator:
Hivi tunakuwaje na mwenyekiti wa kamati ambae kila siku yuko jela, ni mhalifu sugu mwenye sugu?
Ngoja niandae pettition, kaa chonjo!
 
Hivi tunakuwaje na mwenyekiti wa kamati ambae kila siku yuko jela, ni mhalifu sugu mwenye sugu?
Ngoja niandae pettition, kaa chonjo!

Mimi sio mhalifu, cha kufanya wewe ni kum convince mumeo aache kunipigapiga ban, afu na hapa nimeongea na wewe sijui kama leo itaisha salama kwangu...
 
Back
Top Bottom