chardams
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 2,450
- 1,751
Nimetoka jela muda si mrefu wapendwa, naenda kuoga then nakuja jamvini.Stay tuned..!!
Angalia usije rudi tena
Nimetoka jela muda si mrefu wapendwa, naenda kuoga then nakuja jamvini.Stay tuned..!!
Hahahhaaa.Ndaga fijo mnyambala..Afu nilikuwa nimeku miss sana ujue..!!!
!!!!!!Karibu mkuu, tena karibu sana. Bora umekuja maana nina maumbea ya kukupa kama yafuatayo.
1. Loya Ruttashobolwa ameamua kabisa kutuachia mkewe wa ndoa Madame B na kukamatia kimwana mwengine
2. Mzungu Mndali aka Marry Mlokole anajitahidi kujisogeza mdo mdo hapa jukwaani tena, na amepata hata washkaji hasa huyu Donn anajidai ndie swahiba wake na noahism simwelewielewi.
3. Chimbuvu ametoweka kimya kimya na kuniachia muke yake, naomba mwongozo.
Mengine ntakwambia baadae ama Arushaone anaweza kumwagia hapa.................
E bana ee, nimezipata za Ruttashobolwa na fanta passion lady, huyu mzungu hunbig hata aibu hana, aje tu asiwe.na hofu mwambie tumemsamehe kwa buku jero, Chimbuvu si alisema ataweza kulitafuna fupa (Madame B) lililowashinda fisi (Bishanga, Ruttashobolwa na Erickb52) !??? asikimbie mji, mwambieni abaki hapahapa...
Hurrrayyy.!! Karibu sana mwenyekiti, nilikukosa sana
Karibu mkuu, tena karibu sana. Bora umekuja maana nina maumbea ya kukupa kama yafuatayo.
1. Loya Ruttashobolwa ameamua kabisa kutuachia mkewe wa ndoa Madame B na kukamatia kimwana mwengine
2. Mzungu Mndali aka Marry Mlokole anajitahidi kujisogeza mdo mdo hapa jukwaani tena, na amepata hata washkaji hasa huyu Donn anajidai ndie swahiba wake na noahism simwelewielewi.
3. Chimbuvu ametoweka kimya kimya na kuniachia muke yake, naomba mwongozo.
Mengine ntakwambia baadae ama Arushaone anaweza kumwagia hapa.................
Afu nakutafuta sana bwana mdogo, bahati yako mtu akiwa guest hawezi ku comment otherwise ningeunganishiwa ban nyingine juu kwa juu
Ah,mkuu,mbona nipo sana!
Afu nilimaind sana,nasikia ulikuja Mbeya afu hatukuonana!
Kwanini hututafuti wenyeji bhana?
mkuu adhabu aliyoipata yeye mwenyewe najua imemkolea, ipotezee tu