TAARIFA: Wapendwa nimerudi..

TAARIFA: Wapendwa nimerudi..

Kama unajua kuongea na mimi ni hatari, why do you talk to me? Haujapigwa ban bila sababu. Na nikiona tu unatukana mtu nitabonya abyuzi batani fastaa!

manake karibia utazoea jela, mwisho upate na mke huko!
Mimi sio mhalifu, cha kufanya wewe ni kum convince mumeo aache kunipigapiga ban, afu na hapa nimeongea na wewe sijui kama leo itaisha salama kwangu...
 
Pole sana Baba V na karibu tena jamvini! Tulikukosa sana hasa kwenye usimamizi wa sheria za ndoa. Hadi Ruttashobolwa anataka kumwoa passion lady kabla hajakaguliwa! Nimekomaa nao na najua kwavile umekuja, kitaeleweka tu!

Asante sana mkuu, ila habari ya ukaguzi iko nje ya kurasa za katiba yangu, nadhani hiyo makitu iko kwa mzee wa maternity ward Asprin, kwangu vgezo vikizingatiwa sina objection
 
Last edited by a moderator:
Kama unajua kuongea na mimi ni hatari, why do you talk to me? Haujapigwa ban bila sababu. Na nikiona tu unatukana mtu nitabonya abyuzi batani fastaa!

manake karibia utazoea jela, mwisho upate na mke huko!

Mimi hata nisipotaka kuongea na wewe, wewe utataka kuongea na mimi, nina mpango wa kutafuta theluthi ya saini za wana chit chat na Jf ipigwe kura ya kutokuwa na imani na mumeo
 
Baba V unatumia cheo chako? sawa sawa nitatumia nguvu ya umma kuku ng'oa hapo ukiendelea na mchezo wako.

Cheo changu nakitumia kama dhamana ya MATAKWA YA WANACHIT CHAT WOTE, huna haja ya kutumia nguvu, wana CC have their trust in me, I never fail them
 
Last edited by a moderator:
Nimefuta kauli Baba V . Wewe ni mtendaji mzuri unaefuata utaratibu na haupo kama mwigulu nani vile? Nikumbushe nime msahau
Cheo changu nakitumia kama dhamana ya MATAKWA YA WANACHIT CHAT WOTE, huna haja ya kutumia nguvu, wana CC have their trust in me, I never fail them
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom