Chilli
JF-Expert Member
- Jul 17, 2011
- 1,655
- 746
Mmmmh...!!! afu mida yenyewe hiyo.. , isijeskika tu sauti 'Boxer yangu nilitupia wapi!???"
We mzee nawe una bifu na Sir. God nini? Mpaka saa hizi hujaenda chachi?
Mmmmh...!!! afu mida yenyewe hiyo.. , isijeskika tu sauti 'Boxer yangu nilitupia wapi!???"
Usihofu, hii itakua siri yetu shem. Si unajua ukimmiss mtu na kama una ya kumwambia unashikwa na kihoro? Ndo maana nilimuwahishia Baba V yale makhabari.
Mmmmh...!!! afu mida yenyewe hiyo.. , isijeskika tu sauti 'Boxer yangu nilitupia wapi!???"
mh!kumbe ndio hivyo tena,bas ataenda chemba na bby wangu RUTTA mi akhuuuu nimeghairi!Una hatari we mwanamke, unadhani babu Asprin atataka hela? We nenda chemba na atakachokwambia/ kufanya uje utwambie.
ODM ODM!
OK!poa shem wangu nimekuelewa,habari ya jumapili lkn,msalimie bi da shost!
mh!kumbe ndio hivyo tena,bas ataenda chemba na bby wangu RUTTA mi akhuuuu nimeghairi!
Binti mgumu sana kuelewa huyu passion lady. Sijui kwanini alibatiwa hili jina Passion....Una hatari we mwanamke, unadhani babu Asprin atataka hela? We nenda chemba na atakachokwambia/ kufanya uje utwambie.
ODM ODM!
Binti mgumu sana kuelewa huyu passion lady. Sijui kwanini alibatiwa hili jina Passion....
baba v jamani mi na asprin tunataka tuongee habari za ukaguzi tu,boxer tena?ongea taratibu bby wangu asije akaskia patachimbika hapa bure!
Marahaba kijana wangu. Hebu naomba mwongozo kwa huyu binti passion lady, tayari au bado?Shikamoo Babu!
Binti mgumu sana kuelewa huyu passion lady. Sijui kwanini alibatiwa hili jina Passion....
Baba V mwenyewe unaeongea nae washamchapa ban nyingine tena, kama bado hujafunga ndoa tu shauri yako
Marahaba kijana wangu. Hebu naomba mwongozo kwa huyu binti passion lady, tayari au bado?