The Priest
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,029
- 259
Duh huyu jamaa anaijua tanzania nzima wakati ndio kampuni bado mpya..hawa wanabadili tu majina ndio walewale tu.kipindi kimeisha.
Duh huyu jamaa anaijua tanzania nzima wakati ndio kampuni bado mpya..hawa wanabadili tu majina ndio walewale tu.kipindi kimeisha.
Duh huyu jamaa anaijua tanzania nzima wakati ndio kampuni bado mpya..hawa wanabadili tu majina ndio walewale tu.kipindi kimeisha.
3,024,000Kwh x $4.99=$ 15,089,760.00 au TZS 23,389,128,000.00 za leoleo....hawana Capacity charge hawa?
Hivi hii inawezekana?? kwa hiyo hiyo pesa watalipwa kwa kutoa huduma siku moja??...... acha tufe na umasikini wetu...wazime mitambo yao..
Kuanzia tarehe 12 December 2013 mimi ni Mwananchi halali wa Ubelgiji mtakoma na Symbion zenu na mtachakachuliwa hadi mwisho....
NIMECHOKA BWANA MALA LEO RICHMOND....WAKAONA HAIPO DUNIANI WAKAJA NA DOWANS....IKAONEKANA WAMECHAKACHUA NA SASA WAMEKUJA NA SYMBION... HADI WATUCHUNE NGOZI NDIO TUPATE AKILI
Tutakoma ubishi safari hii. Kama inaawezekana ni bora tukae giza tu,umeme mdogo ulioppo upelekwe kwenye viwanda. Haya mambo ni yakipuuzi kabisa........
Hivi ni DOLLAR NNE au ni SENTI NNE? tuweni makini kidogo jamani.
mkuu wameandika $4.99 per Kwh...... soma hapa
MICHUZI: SYMBION POWER TURNS ON ELECTRICITY
mkuu wameandika $4.99 per Kwh...... soma hapa
MICHUZI: SYMBION POWER TURNS ON ELECTRICITY
Michuzi atakuwa alifeli hesabu vibaya sana F.IV......Sasa hivi twanunua 1Kwh kwa 92/= sawa na $0.06
Habari wana Jf, nimepitia michuzi blog na kukuta information ya Symbion Power inayosema watauza umeme Tanesco 1 Kwh kwa 4.99 USD, kwa mawazo yangu hii pesa ni nyingi, hebu fikiri hawa jamaa wana uwezo wa kutoa 126MW per day.... ambayo ni sawa na 126000KW sasa wakiwasha kwa masaa 24 itakwa ni 3024000Kwh ukizidisha kwa bei ya 1Kwh ambayo ni 4.99USD jawabu limenichanganya. sithubu hata kuliweka hapa naona kama nimechanganyikiwa....... hebu wataalamu wa umeme tusaidieni hapo......Watanzania wenzangu mbona kama tunaliwa.....
Kama nitakuwa nimekosea hesabu naomba unisahihishe....