Symbion Power acquires DOWANS Power plant

Symbion Power acquires DOWANS Power plant

Angalau hawa wamarekani wanayo physical adress ,na kampuni inajulikana ......ss tusubiri hadith za hawa wanasiasa wetu waweke chao cha juu

watetea ufisadi wananichekesha sana na maneno..."walau hawa wana physical address..." cjui address ndo legality!!
 
Mikataba yote ambayo imefanywa na itakayofanyika wakati CCM ipo madarakani ni batili kabisa.
Ni lazima mikataba yote ifutwe.
 
Tanesco ndio bomba la maziwa kwa viongozi wa nchi hii sasa, kila wakijisikia kiu wanafungua wanachota wanakunywa wakitosheka wanaalika na wengine.
Tusubiri mpango mpya wa mgao na ongezeko la gharama za umeme.
Makene, kweli kabisa!
 
wakati wa ujio wa mkurugenzi wa dowans, rais kikwete alidai kutokumtambua mmiliki huyo wa kampuni inayoidai serikari yake mabillion ya dollar.

Leo raisi huyo asiyemjua mmiliki wa dowans amempokea mkurugenzi wa symbion aliyenunua kampuni ya dowans.

Je inaingia akilini kuamini maneno ya kikwete kwamba hakumjua mmiliki wa dowans?
kesho mambo yakiharibika, na huyu naye atasema hamjui kama alivyomkana mmliki wa dowans
 
Soma vizuri ulipondua hicho kipande na kukibandika hapa. Symbion wamenunuwa mitambo ya Dowans ambayo ni mobile na inaweza kupelekwa kokote duniani kwenye projects zao zingine, na watawapa proposal Tanesco, kama wataikubali hiyo proposal wawazalishie umeme kwa mitambo ambayo ipo hapa hapa na iko in order. Kama hawataki Symbion wataichukuwa hiyo mitambo wapeleke kwingine, sasa kuna tatizo lipi hapo?

Sikiliza nyinyi, msiwe wafinyu wa kufikiri, hiyo mitambo ni ya kuzalisha umeme na Symbion ni makandarasi wa shughuli zinazohusu umeme na wana projects hapa Tanzania na kwingine duniani. Ikiwa Tanesco watakataa hiyo proposal ya Symbion, Tanesco watakuwa ni mapunguani namba moja duniani.

Na iwe ni Symbion au kampuni yoyote ingine duniani haiwezi kukupa bidhaa zake bure, kama unaweza kaunde zako.
kama mmiliki ameenda kuonana JK unadhani TANESCO watachomoa! vipi kuhusu kesi? vipi jk ameshamjua mmiliki wa dowans? dah kaazi kweli kweli
 
President Jakaya Kikwete yesterday commended the efforts being made by the US-based energy Company Symbion Power in generating electricity to overcome the current crisis.
Kikwete made the remarks in Dar es Salaam yesterday when he met with the Company’s Chief Executive Officer, Paul Hinks.

“I support your efforts of generating power so that the country can be freed from the current power crisis. The doors are open for other companies to come and invest in energy sector in the country,” President Kikwete said.

He said that power demands in the country was high and that about 3,000MW would be needed in the next five years.
For his part Hinks assured President Kikwete that he expand the Company’s power systems to increase power generation.
He said the power which will be generated will be sold at affordable prices so as to benefit most Tanzanians especially the low income earners.

Symbion proposed charges for the sale of electricity to Tanesco are 4.99 US cents per kWh using gas and 6.5 US cents per kWh when using jet fuel, both amounts excluding fuel costs and described by Symbion as lower than those charged by Songas and IPTL.

The head office of Symbion Power Company is in Morogoro Region.
Hinks said that currently, the company was training youths for three months on how to install the systems to enable them to earn income and get employment.
Last month the US-based energy firm Symbion Power concluded and signed a deal for full acquisition of the Dowans power plant that has lain idle at Ubungo Tanesco compound for quite some time.

The plant was purchased at an estimated price of USD 120million.
Symbion plans to embark on expansion of the plant, increasing the installed capacity by ten per cent–from 120 MW to 130 MW.
Symbion Power has also expressed its readiness to supply the Tanzania Electric Supply Company Ltd (Tanesco) with free power during the initial period of trial runs of the plant.

These developments come as energy stakeholders and government organs overseeing the energy sector trade accusations over the little progress made in the implementation of strategic power projects and exploitation of the energy potential in order to address endless power blues in the country.

Various key actors in the energy sector, including the private firms, are dissatisfied with the slow pace at which Tanesco and the Energy and Minerals ministry have been moving towards finding lasting solutions to the country’s power crisis.
Source The Guardian
 
Ngoja ninywe chai kwanza, ................. nitakua na jibu maana iz 2much!
 
Waswahili wanasema usimsikilize muongo hata kama anakuambia ukweli,jamaa wamenunua dowans ambayo kimaandishi ni kampuni ya ujanja ujanja tu bado muheshimiwa rais anakaa nae meza moja,kujipunguzia lawama kwa wananchi kwann asingemuachia hata waziri au mizengo aongee nao hao majamaa,kweli rais anaacha kufuata ratiba yake ya cku kuhusu kuhudumia au kutumikia wananchi kwa kuwackiliza wajanja walionunua kampuni ya kijanjajanja that is to much,inauma sana and sttil tupo gizani
 
Wakati wa ujio wa mkurugenzi wa Dowans, rais kikwete alidai kutokumtambua mmiliki huyo wa kampuni inayoidai serikari yake mabillion ya dollar.

Leo raisi huyo asiyemjua mmiliki wa Dowans amempokea mkurugenzi wa Symbion aliyenunua kampuni ya Dowans.

Je inaingia akilini kuamini maneno ya kikwete kwamba hakumjua mmiliki wa Dowans?

Hapana.
 
Faiza wewe ndio uache pumba usiende kucopy kwenye generation na kusema hujui 45MW ni nini, hiyo ni tegeta gas plant na ndio pekee aliyoiongeza, wenzake Uganda na Kenya wameongeza over 700Mw upo hapo?
Yaani kwenye sector ya umeme hakuna lolote na ninasimamia hili ...usicopy vitu coz u know how to google and paste them here, anacholeta tena kwa grants ni isolated thermal stations not connected and extremely expensive to run

Kama tanzania ni rich by far labda huko kwako lakini si kwetu na data zipo , unajibu kwa kejeli tu,

Si mara ya kwanza mawaziri kujadiliwa ...na kama mtu amekosa na awajibishwe kwa makosa yake si kuachia ngazi tu !

Kwenye umeme hajafanya lolote na usitetee kwa kunicopia generation plan niliyoiupdate mwenyewe! Get real!

Kwenye mambo ya 'siri za serikali' hahahah lemme laugh aloud! Hahahahah! Eti ni siri! Ngoja aburuzwe mahakamani kwa kuchota kagoda kuwekeza kwenye uchaguzi

Ama kweli ukisifia uozo na mwenyewe unaoza,

Pumba hizo, Eti Tegeta pekee, soma hii: https://www.jamiiforums.com/jamii-i...-megawati-300-yajitahidi-kuchukua-kiwira.html.

Ikiwa huijuwi Tanzania kama ni nchi tajiri, utakufa na umasikini wako, kwani huoni wala husikii. Unalazimisha nisi google na kukubandikia hapa pumba zako? unaona yamekusuta mchana kweupeee, peee. Mbona hujayajibu na kuyakataa? hizo 45MW si wewe ndio ulizozisema? na tukabwagia vielelezo, si vya "planned" bali current generation. Unalo?

Sasa ukitaka planned, ndio utachoka mwenyewe, kwa kifupi nimekubandikia hiyo hapo chini iliyosainiwa juzi juzi tu, kuna steigler yaja, kuna new gas plant Mtwara, kuna , kuna, kuna. Loo, wacha kuona gere na kumfanyia uhasid mwana wa mwenzio kwa kuwa tu hata nyerere hajayafanya anayoyafanya yeye, Mbona ya barabara za lami zilikuwa KM ngapi alipochukuwa nchi na sasa ziko ngapi huyasemi? mbona mashule yalikuwa mangapi sasa mangapi huyasemi? mbona vyuo vikuu vilikuwa vingapi na sasa vingapi huvisemi?

Au kisha wakatia mabomba ya kunyonya damu zetu huko Tanesco ndio sasa mna haha?

Kama anavyoburuzwa Mbowe kwa kutotii amri ya mahakama? haa utamuona hivi hivi mwana wa mwenzio!

Ikiwa mtu kama wewe ndio uliyoiweka hiyo "plan" si hasha kwa nini hatuna umeme.

Hamna zaidi ya chuki binafsi, hujaonesha hata moja la mapungufu ya Kikwete, ikiwa umeme ndio tatizo lako, yeye aliikuta hii nchi kizani 2005 au umesahau?

Nioze zaidi yako unaejitahidi kutafuta mapungufu na huyapati. Loooo!
 
Pumba hizo, Eti Tegeta pekee, soma hii: https://www.jamiiforums.com/jamii-i...-megawati-300-yajitahidi-kuchukua-kiwira.html.

Ikiwa huijuwi Tanzania kama ni nchi tajiri, utakufa na umasikini wako, kwani huoni wala husikii.

Kama anavyoburuzwa Mbowe kwa kutotii amri ya mahakama.

Ikiwa mtu kama wewe ndio uliyoiweka hiyo "plan" si hasha kwa nini hatuna umeme.

Hamna zaidi ya chuki binafsi, hujaonesha hata moja la mapungufu ya Kikwete, ikiwa umeme ndio tatizo lako, yeye aliikuta hii nchi kizani 2005 au umesahau?

Nioze zaidi yako unaejitahidi kutafuta mapungufu na huyapati. Loooo!

Chuki binafsi ninayo mimi and million others, hajaimplement plan coz he is imbeccile(sp) can't get anything right

Usiniwekee kiwira, hajafanya lolote, and why other counterparts in EA are surpassing him by far?
By admitting kwamba hajui kwanini sisi ni maskini shows u and him mna mtindio wa fikra!! Na kwa unavyojieleza I think u r over 40ty so ukiendelea na dhana ya udini utazeeka vibaya
 
Ivi leo hii nikitaka kununua Tanesco na mimi wataniruhusu?
 
Chuki binafsi ninayo mimi and million others, hajaimplement plan coz he is imbeccile(sp) can't get anything right

Usiniwekee kiwira, hajafanya lolote, and why other counterparts in EA are surpassing him by far?
By admitting kwamba hajui kwanini sisi ni maskini shows u and him mna mtindio wa fikra!! Na kwa unavyojieleza I think u r over 40ty so ukiendelea na dhana ya udini utazeeka vibaya

Tanesco anasema haikuelekeza kwa nguvu tokea miaka ya 90 hadi leo kwani serikali ilitaka kuibinafsisha .Wanadai sasa ndio wanajipanga kwa msaada wa serikali kuboresha kufua umeme.Jamii ForumTuache kuburuzana wenyewe,haitusaidii.Wanaopindisha nishati ya umeme ni watawala tu.

 
Anashangaa Watanzania wanachajiwa Capacity Charges Kubwa na Gesi yao pia wanailipia Kodi na hapo hakujua kuwa kuna ewura angezimia kabisa .... anajifanya anataka kuwasaidia Watanzania Kwa kuwauzia Umeme wa Bei Rahisi... hizi ndio gia zao mwanzoni au huwa ndio marengo yao lakini Serikali huwawekea ngumu na kuwapandishia kodi so bei inakuwa pale pale me naona tunadanganywa labda uje utawala mpya.

Na hutu tu megawatts vichache vya mitambo haramu ya RICHMOND DADAKE DOWANS MAMA YAO SYMBIONndio ataukomboa kweli Watanzania?
 
Anashangaa Watanzania wanachajiwa Capacity Charges Kubwa na Gesi yao pia wanailipia Kodi na hapo hakujua kuwa kuna ewura angezimia kabisa .... anajifanya anataka kuwasaidia Watanzania Kwa kuwauzia Umeme wa Bei Rahisi... hizi ndio gia zao mwanzoni au huwa ndio marengo yao lakini Serikali huwawekea ngumu na kuwapandishia kodi so bei inakuwa pale pale me naona tunadanganywa labda uje utawala mpya.

Na hutu tu megawatts vichache vya mitambo haramu ya RICHMOND DADAKE DOWANS MAMA YAO SYMBIONndio ataukomboa kweli Watanzania?

Tanzania itakombolewa kwa maandamano.
 
Mara nyingi hawa wawekezeji wanakuja na nia njema kabisa ila wanasiasa wetu ndio wanaonza 'kuweka cha juu'. Na shida inaanzia kwa watayarishaji wa mikataba ambao mara nyingi ni wanasheria wa humu humu nchini. wao wanaweka 'chenji' kubwa sana na mara nyingi huishia kuwa shareholders. Tanzanite ni mojawapo!
 
Back
Top Bottom