Symbion Power acquires DOWANS Power plant

Symbion Power acquires DOWANS Power plant

... kazi kwelikweli:
1kW-h = 1000 W
1 Mw-h = 1000000 W = 1000kV-h
126 MW-h = 126x1000kV-h = 126000kV-h
Kama Capacity ya uzalishaji ni 126,000kW-h siyo lazima kwamba hiyo ndiyo power inayoingia kwenye TANESCO kila saa na kwa hiyo siyo sahihi kukokotoa gharama kama USD 126,000x4.99=628,740 USD kila li saa limoja au USD 15,089,760 kwa masaa 24 au half a billion dollars for 30 days

sisi kama wananchi tutajuaje kwamba leo waingiza 126MW au 65MW Tanesco.... na je kama mwisho wa siku ukambiwa waliweka 126Mw kumbe ni nusu yake na wakalipwa full.....

tatizo hapa sio wataingiza kiasi gani Tanesco, ishu ni 4.99USD per 1Kwh.....
 
Kuanzia tarehe 12 December 2013 mimi ni Mwananchi halali wa Ubelgiji mtakoma na Symbion zenu na mtachakachuliwa hadi mwisho....

Ukirudi 13 December 2015 utatukuta hapa hapa bongo, na J. Kikwete atakua amemaliza ngwe yake. kampa mwingine
 
Habari wana Jf, nimepitia michuzi blog na kukuta information ya Symbion Power inayosema watauza umeme Tanesco 1 Kwh kwa 4.99 USD, kwa mawazo yangu hii pesa ni nyingi, hebu fikiri hawa jamaa wana uwezo wa kutoa 126MW per day.... ambayo ni sawa na 126000KW sasa wakiwasha kwa masaa 24 itakwa ni 3024000Kwh ukizidisha kwa bei ya 1Kwh ambayo ni 4.99USD jawabu limenichanganya. sithubu hata kuliweka hapa naona kama nimechanganyikiwa....... hebu wataalamu wa umeme tusaidieni hapo......Watanzania wenzangu mbona kama tunaliwa.....

Kama nitakuwa nimekosea hesabu naomba unisahihishe....

Si kuna gharama za kuzalishia hiyo KW moja? na vile vile gharama za uendeshaji kama mishahara ya watumishi, riba ya mikopo ya benk nk
 
Si kuna gharama za kuzalishia hiyo KW moja? na vile vile gharama za uendeshaji kama mishahara ya watumishi, riba ya mikopo ya benk nk

Tanzania kuendelea ikiwa na watu kama hawa ni vigumu..... so upo tayari kwa serikali yako kulipa USD 15,089,760 per day.... na bado mgao utakuwepo.....
 
Nimezimia leo asubuhi baada ya kusikia tanesco imeingia mkataba na symbion wa kuuziwa umeme!hawa jamaa wametupiga chenga mchana kweupe,yani ni ilele DOWANS.kumbe ndio maana wahindi kila kukicha wanabadili majina ya biashara kujifanya ni kampuni mpya.
 
Ukirudi 13 December 2015 utatukuta hapa hapa bongo, na J. Kikwete atakua amemaliza ngwe yake. kampa mwingine

Au atakuwa HAGUE akijibu mashtaka ya kuwakandamiza na kuua wananchi wenye madai halali dhidi yake kwa mtutu?
 
Nimezimia leo asubuhi baada ya kusikia tanesco imeingia mkataba na symbion wa kuuziwa umeme!hawa jamaa wametupiga chenga mchana kweupe,yani ni ilele DOWANS.kumbe ndio maana wahindi kila kukicha wanabadili majina ya biashara kujifanya ni kampuni mpya.


hivi tuna serikali??? kama sio typing error ya Michuzi... hizi pesa zitatoka wapi? au ni hizi kodi zetu (PAYE)....
 
Kwakweli hapa uzalendo kwa baadhi ya wt umetoweka kabisa! Haiingi akilini kama usd 4.99 per kwh?
 
inauzi ila basi tu ,hatuna la kufanya

naomba niulize swala wana JF
Hivi viongozi wetu wanaliona hili? je wanajuwa kama tunapoteza nyingi kuwalipa hao symbion power?

basi bana acha wale tu nadhani kuna mtu amewaroga viongozi wetu,hawaoni wala hawasikii,na inasikitisha kuwa upo uwezekano hata mitaani wao hawakai ndio sababu inakuwa ngumu kusikia sauti za watu wakilalamika
 
hivi ninyi mlifikiria nini? Mafisadi lazima warudishe hela yao eti. Na faida juu yake. Yaliposhindikana ya richmond yakaingia ya dowans.
Tulipopiga kelele juu ya dowans mara ghafla bin vuu wakaingia symbion. Mimi nilidhani wataichukua ile mitambo waiuze cyprus, kumbe wote walikuwa wanadowea soko la tanesco, ili dowans ilipwe na richmond nayo ilipwe. Hebu jiulizeni symbion waliingiaje tanzania, kwa kupitia mchakato gani? Halafu si umeona ceo anakaribishwa ikulu yetu. Tuliliwa zamani.

symbion=richmond=dowans=ccm
Eti kampuni ya Kimarekani Rahisi wetu faster anawapokea ikulu.....inauma sana ujinga huu....
 
Ndugu zangu, bei hiyo ni most economical na capacity charge lazima iwepo kwani mtu huwezi kuwekeza mitambo ya bei gali bila assurance ya kupata soko lako..that's the meaning of capacity charge

Hiyo 4.9 ni cents not full $$

Mitambo inayoendeshwa kwa umeme wa mafuta mazito kama IPTL ndio 600shs quite expensive

Hiyo 4 cents inarudisha faida kubwa tu...
 
Habari wana Jf, nimepitia michuzi blog na kukuta information ya Symbion Power inayosema watauza umeme Tanesco 1 Kwh kwa 4.99 USD, kwa mawazo yangu hii pesa ni nyingi, hebu fikiri hawa jamaa wana uwezo wa kutoa 126MW per day.... ambayo ni sawa na 126000KW sasa wakiwasha kwa masaa 24 itakwa ni 3024000Kwh ukizidisha kwa bei ya 1Kwh ambayo ni 4.99USD jawabu limenichanganya. sithubu hata kuliweka hapa naona kama nimechanganyikiwa....... hebu wataalamu wa umeme tusaidieni hapo......Watanzania wenzangu mbona kama tunaliwa.....

Kama nitakuwa nimekosea hesabu naomba unisahihishe....
Inauma,inasikitisha na inahudhunisha sana,yaani namkumbuka yule giliki aliesema serikali ya mwl nyerere kaiweka mfukoni lakini kwa mwl alikiona cha moto hawa mabwana mapacha watatu rostam,kikwete,na lowasa wametuweka mfukoni,symbion power na dowans nia sawa na nyani wa zamani msitu ndio mpya,SASA NI BORA KWENDA KUISHI RWANDA
 
Furahieni miaka 50 ya UHURU !
Watu wanalala gizani,kujisaidia vichakani,huduma za afya mediocre etc etc.
 
Ndugu zangu, bei hiyo ni most economical na capacity charge lazima iwepo kwani mtu huwezi kuwekeza mitambo ya bei gali bila assurance ya kupata soko lako..that's the meaning of capacity charge

Hiyo 4.9 ni cents not full $$

Mitambo inayoendeshwa kwa umeme wa mafuta mazito kama IPTL ndio 600shs quite expensive

Hiyo 4 cents inarudisha faida kubwa tu...
Injinia haya banaa
 
Back
Top Bottom