Symbion Power acquires DOWANS Power plant

Symbion Power acquires DOWANS Power plant

Thanks Faiza

Binadamu woote wana mapungufu, na si kila unachoambiwa na mchungaji au padri ndicho unatoka nacho kama neno la mwisho maana ukiambiwa lazima pia usome na neno likuongoze, nasema sio kila kitu kwani wao ni viongozi wa kiroho

Mapungufu yake nitayafungulia thread na yale yaliyoandikwa humu yanatosha sana tu, kuhusu udini mimi siuoni kwani anachangamana na dini zote

Weakness; hajui Kagoda ni nani..hajui meremeta ni nani..( We know he knows..u may try to defend this but I won't even come back to say anything abt it again )

Weakness: he has failed to inject into power generation after the 45MW which he inherited from the 3rd regime...his counterparts in EA are surpassing us and by far

Weakness: he doesn't know why TZ is poor !

Weakness: he has failed to take a stand and kuwawajibisha wale waliokosea na kuwaomba wang'oke wenyewe e.g Msabaha et al

Mengine wengine wataongezea

1) Kagoda ilijadiliwa bungeni kama hufatilii hizi habari ngoja nikukumbushe, ikasemwa halijadiliki ni kwa ajili ya usalama wa taifa, na hilo alilisema na kulipitisha Spika wa Bunge (Sitta) ambao ni muhimili wa tatu wa uongozi wa nchi hii. Full Stop. Kumbuka kila Taifa lina siri zake na si kila mtu anatakiwa azijuwe. Au na hilo hulipendi? sijaona mahali Kikwete aliposema "hajui Kagoda ni nani" hayo ni yako.

Kwa hayo hakuna pungufu la Kikwete hapo.

2) 45 Mw si ndio? Basi umekosea na kwa kukujuza tu:

The hydro-plants operated by TANESCO are all interconnected with the national grid system and their installed capacity for each station is as follows: Kidatu 204 MW; Kihansi 180 MW; Mtera 80 MW; Pangani 68 MW; Hale 21 MW; and Nyumba ya Mungu 8 MW totaling to 561 MW.


TANESCO has been implementing power generation mix program, whereby a substantial amount of generation comes from thermal generation through own generation and independent power plants (IPPs). Own thermal generation comes from the Ubungo 100 MW gas-fired plant in Dar es Salaam. Another 45MW gas-fired power plant located at Tegeta in Dar es Salaam is expected to enter the grid system in September 2009.
By the end of year 2008 IPPs contributed a total installed capacity of 282 MW. IPPs powering the national grid include the Independent Power Tanzania Ltd (IPTL) with 100 MW (diesel based) installed capacity and SONGAS (Songo Songo gas – to electricity project) which by the end of 2007 had 182 MW capacity. TANESCO also imports a total of 10 MW of electric power for Kagera Region from Masaka substation in Uganda while Sumbawanga, Tunduma and Mbozi districts receive about 3 MW from neighbouring Zambia.


There are also several diesel generating stations connected to the national grid in Dar es Salaam, Mwanza, Tabora, Dodoma, Musoma and Mbeya. These have installed capacity of 80 MW but the only operational grid diesel based station is Dodoma which contributes about 5 MW and the rest are due for disposal due to obsolescence and high maintenance costs. However a short term plan is being implemented to replace the retired capacity by a 60MW plant at Nyakato, Mwanza by 2011. The other regions, districts and townships namely, Kigoma, Mafia, Mpanda, Tunduru, Songea, Liwale, Ikwiriri, Masasi, Mbinga, Ludewa, Ngara, Bihalamulo, and Kilwa Masoko are dependent on isolated diesel – based generators with a total installed capacity of 31 MW. Mtwara and Lindi are supplied by M/S Artumas Group Ltd, an IPP based in Mtwara. The total capacity of Artumas power plant is 8MW using gas from Mnazi Bay gas wells in Mtwara.

Source: GENERATION

Sijui hiyo figure ya 45mw umeitowa wapi lakini kama ndio uko sahihi ina maana Kikwete kwa wakati wake kisha weka hizo hapo juu less 45 zako = za Kikwete.

Hakuna pungufu hapo.

3) "he doesn't know why TZ is poor", indeed he doesn't simply because TZ is not poor. Do you believe TZ is poor? in your right mind? I don't believe TZ is poor! Tanzania is rich in all aspects.

Hakuna pungufu hapo.

4) Haku take stand? wacha pumba! Tanzania hii kwa mara ya kwanza tunaona mawaziri wakijadiliwa wazi wazi bungeni na mpaka waziri mkuu kung'atuka pamoja na huyo Msabaha na wengine. Liliwajadili bunge na Kikwete hakulipinga akakubali waondike. Ama kweli huoni wala husikii, hivi hujaona mpaka kina mramba wanaswekwa ndani? mahalu? ni wakati upi katika uongozi wa Tanzania uliyaona haya? hakuna zaidi ya wakati huu wa Kikwete. Tafuta lingine kwa hili hakuna pungufu, inabidi asifiwe sana tu.

5) Vipi wewe umemaliza na unataka usaidiwe na wengine? haya tuendelee.
 
Faiza hivi kuna post yoyote yenye kukosoa utawala huu wa rais wa macho uliyowahi kuiunga mkono tangu ujiunge jf hatakama inaukweli?
Nakushauri usifanye kazi uliyotumi bila kushirikisha akili yako mpaka kila mtu akatambua kuwa wewe umetumwa!!! Fanya kazi huku ukijua kuwa taifa hili ni letu zote!! Matokeo ya utawala wa rais wa macho kila mwenye macho anaona na wewe ukiwemo! Inawezekana wewe binafsi hutaathiriwa/hujaathiriwa na matokeo ya Richmond,EPA,Kagoda,Meremeta,Iptl,mauaji Tarime,Mauaji Arusha. Lakini nakuhakikishia kuwa athari za hayo hazitasha leo au kesho!

Richmond = Kesi iko mahakamani.
EPA = Mkapa
Kagoda = Mkapa na imeshaongelewa bungeni
Meremeta = Mkapa na imeshaongelewa bungeni
Iptl = Mwinyi na wakati wa Kikwete ndio tumeshinda kesi, kabla ya hapo IPTL walishinda kesi mahakamani.
mauaji Tarime, = Trespassing = shoot at sight.
Mauaji Arusha = Wahuni wanaotaka kuvamia kituo kikuu cha polisi chenye silaha uwawachie?
 
3) "he doesn't know why TZ is poor", indeed he doesn't simply because TZ is not poor. Do you believe TZ is poor? in your right mind? I don't believe TZ is poor! Tanzania is rich in all aspects.

Like what?
 
Wakuu huwezi kampuni ambayo ni ya kweli ikaja Tanzania kufanya biashara bila % ya watu fulani, Ukifuatilia kwa karibu kampuni hii nayo ni fake. KWA YOYOTE MWENYE UZOEFU NA MAKAMPUNI MAKUBWA KAMA HILI INAVYODAIWA NCHINI MAREKANI HII KAMPUNI HAIKO LISTED DNB(dun & bradstreet credibility corp) kama ingekuwa sio mpya ya kutengeneza labda kama zamani ilitumia jina lingine, ambavyo sio rahisi kutoelezea kama ilikuwa nalo, maana ingeongeza age kwenye kampuni ambacho ni kitu kingesaidia zaidi kwenye mchakato wa bidding process. vile vile kama kuna mtu ana access ya kuona registration ya kampuni hiyo marekani{ either DBA, doing business as or corporate formation cert atuambie lini imesajiliwa) Kimsingi ni kampuni ambayo imekuwa staged kwa madhumuni yale yale.....according to their website information zao ziko shallow na za kiujanja!
mambo mengi ukiyafuatilia yanaishia njiani mapema sana.
 
Kuna watu humu, JK hata afanye nini, kwao ni makosa tu, sababu? ni dini yake! ngoja mwenzao (wa dini yao) afanye hata "ushuzi" kwao ni mwema tu. Huo ndio ukweli usiopingika. Kwa nini? kwa kuwa wameshadanganywa (brain washed) na wajinga wenzao.

Tusitafune maneno, tuweke wazi tu, chuki na inadi kwa Kikwete za nini kama si dini yake?
Wenye akili zao wameshakuelewa we ni mtu wa aina gani!
 
Du, FaizaFoxy, are you for real ? Kwa mbali naona dalili fulani fulani katika majibu yako lakini loo unavyomtetea huyo bosi wa mafisadi inaanza kutia shaka na kuonyesha mapungufu makubwa ya kifikra. Kikwete ndiye Richmond na Richmond ndiyo Kikwete na hao wote wanatajwa kuhusiana na Richmond/dowans ni mabangusilo tu. huo ndio ukweli.

Kikwete alimfahamu Mohamed Gire tangu zamani sana na mwaka 2006 alipotembelea Marekani alikutana naye na hapo ndio mpango wa Richmond uliposukwa. Hao Symbion ni makanyabwoya tu, wameombwa kununua hiyo mitambo na serikali ya Tanzania katika mbinu ya kufunika kombe mwanaharamu apite. Symbion wanatumiwa tu kuupulizia manukato uharo wa mafisadi.

Huyo bosi wa Symbion kwenda Ikulu kakaribishwa tu wala hakuwa na mpango wa kumtembelea Kikkwete. Wamarekani wanajua na wanaheshimu sana protocol na si rahisi kwa wafanya biashara wadogo kama hao (wanaotegemewa kuzalisha eti MW 120 tu) waonane na Raisi wa nchi tena Ikulu. Wewe Faiza mtetee tu kwani usipomtetea wewe atampata wapi rahisi kama wewe ?

Maandishi yako yanaonyesha kuwa hamko wengi, ni yule yule ama wale wale hata hivyo kazi mnayo, duh. Utajibu mpaka vidole vitauma lakini humpati mtu hapa labda madondocha saizi yako. Kikwete hata akifanya nini kuna siku atajibu tu na akifa kabla ya wakati huo mwanae atajibu na yeye akiondoka mjukuu wake atajibu. Hawezi kupona, hio ni ndoto.

Mohamed Gire? = Richmond.

Kikwete alisema hawafahamu wenye Dowans, wacha kujichanganya.
 
Faiza wewe ndio uache pumba usiende kucopy kwenye generation na kusema hujui 45MW ni nini, hiyo ni tegeta gas plant na ndio pekee aliyoiongeza, wenzake Uganda na Kenya wameongeza over 700Mw upo hapo?
Yaani kwenye sector ya umeme hakuna lolote na ninasimamia hili ...usicopy vitu coz u know how to google and paste them here, anacholeta tena kwa grants ni isolated thermal stations not connected and extremely expensive to run

Kama tanzania ni rich by far labda huko kwako lakini si kwetu na data zipo , unajibu kwa kejeli tu,

Si mara ya kwanza mawaziri kujadiliwa ...na kama mtu amekosa na awajibishwe kwa makosa yake si kuachia ngazi tu !

Kwenye umeme hajafanya lolote na usitetee kwa kunicopia generation plan niliyoiupdate mwenyewe! Get real!

Kwenye mambo ya 'siri za serikali' hahahah lemme laugh aloud! Hahahahah! Eti ni siri! Ngoja aburuzwe mahakamani kwa kuchota kagoda kuwekeza kwenye uchaguzi,

Ama kweli ukisifia uozo na mwenyewe unaoza,
 
Ni aibu kwa prezidee kuonekana mbele ya jamii anampokea mmilikiwa wa kampuni ya ex-dowans ili hali hao dowans bado wana mgogoro na serikali yake na kesi ipo mahakamani , very shame !!!!
 
Ina maana jamaa wamenunua na deni la Tanesco?
 
Kwakeli Nchi ni kizungumkuti tatizo lipo na linaongozwa na amiri jeshi mkuu mkuu wa nchi ama kwa kutaka mwenyewe au kutokana na kuwa aliingizwa madarakani na wale waliokwishatafuna nchi sasa naye anajikuta ana jinsi maana yeye ni mmoja wao ni wengi hivi anakuwa kwenye dilema. Akiwatosa watamuu kwahiyo anaona bora ashirikiane nao. Kwakweli kama mfuatiliaji wa taarifa ukianzia mwaka 2006 mpaka sasa ni wazi kwamba wanaoharibu ni wizara na rais wao
 
Tanzania: So rich, so stable, but so poor!
Tanzania is a poor country, it's shame that you don't see it and things will get worse cause of the empty minds of some our leaders. Unless you're so ignorant to grasp what everyone is trying to tell you, someone must be paying you to do this. It doesn't register to me in this century we still live in dark ages with no reliable source of energy.
 
Symbion Power



DAR ES SALAAM, Tanzania, May 30, 2011

/PRNewswire/ -- Responding to recent press reports, Washington based power company Symbion Power has confirmed that they have indeed signed an agreement to acquire a 120 MW power plant in Tanzania.
Alongside current options for the equipment internationally, Symbion intends to submit a bid proposal to Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO). The plant has recently been tested by independent engineers and has been confirmed to be in excellent running order and able to produce power at short notice.

Symbion has joined forces with ProEnergy Services, a U.S. based multi-national integrated service provider to the energy sector, who operate and maintain power plants on a global basis. ProEnergy Services has extensive aero-derivative gas turbine operation and maintenance experience, and will act as Symbion's Technical Services Partner.


In Tanzania, Symbion Power already has extensive electrification contracts that are funded by the U.S. Government through the Millennium Challenge Corporation, as well as the Tanzanian Rural Electrification Agency and TANESCO. Symbion's work encompasses the construction of 3000km of overhead power lines and 26 substations across 8 regions in Tanzania and Zanzibar.

Paul Hinks, Chief Executive Officer, Symbion Power said, "the negotiations with the former owner have been challenging and, as a consequence of past reports, we have undertaken extensive due diligence. This due diligence also encompassed the thorough examination and testing of the equipment to ensure that it is in excellent condition. The results have been positive; the plant has been very well maintained."

Hinks went on to say, "it gives me great pleasure to be able to move to the next phase which is to offer electricity to TANESCO and to the people of Tanzania at a time when load shedding and disruption to consumers is worsening. The 120 MW that this plant can deliver would have a significant impact on the power situation in Tanzania." Hinks continued, "We want to keep the plant in Tanzania, but if TANESCO does not wish to utilize our services, we have other opportunities for its use overseas. This is a mobile plant that can be moved easily.

Chairman, Symbion Power Africa, Ambassador (ret.) Joseph Wilson said, "the Symbion Ubungo power plant has been sitting idle for almost three years while this country has faced and continues to face extraordinary challenges as a result of a shortage of power generation capacity. On behalf of the Board of Directors of Symbion Power and all our staff in Tanzania and elsewhere, I am proud to say that the plant can now be revived and I am hopeful that the Government of Tanzania will be interested in engaging our services."

Symbion Power is an American company that specializes in developing complex turnkey electric power infrastructure systems, including transmission lines, substations and switchyards and thermal power plants, in regions of the world where conflict and instability are major impediments to progress. The company is headquartered in Washington, D.C., and has offices in several other countries www.symbion-power.com.
SOURCE Symbion Power




GO9G3239.jpg

The President welcomes CEO of the Symbion Power Company Mr. Paul Hinks



GO9G3263.jpg
Tatizo JK anataka ku micromanage kila kitu, mwisho wake hakuna kinachofanikiwa anaaza kulaumu mawaziri wake kwamba hafanyi maamuzi.
 
Tusije tukafanya makosa. Tuwe na mkataba unaotufaa bila kusahau ya nyuma tunakotoka na tunachoweza kuokoa tuokoe. Madai yetu yasifunikwe na change of ownership inayotarajiwa.
 
Jk ni msanii na amepoteza mwelekeo,haiwezekani rais wa nchi aliapa kulinda jamhuri na watu wake,dowans waingie kihuni yeye atoe jibu jepesi kuwa haijui,amepoteza uhalali wa kutawala,he must go
mkuu, kwani JK alishawahi kujua nini? yeye kila kitu hajui!!
 
Si bora ya hayo kuliko kuwa na danguro.
Basha ako ana watoto wangapi?
Naona amenenepa uso tu!! mwambie aende tu marekani, hatutamuuliza kwa nini anasafiri, swala la ugonjwa ni vema akalishughulikia
 
Back
Top Bottom