Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
Ubuyu wako mtamu dada - ungegonga 60 mpaka sasa. Pole na kila la heri. Take care of yourself. Magonjwa na hasara
 
Loh!! EMT Hapa umenichoma ujue???? Hizi ziache kulekule sport hapa ni MMU tu.

Ndo maana kwenye post yangu hapo juu nimesema hiviiiiiiiii. Ukweli huwa unauma.

Wengi wetu huwa tunaogopa kusema ukweli kwa sababu eti tutawaumiza wahusika.

Lakini ikiwa hatuambiani ukweli hatuwezi kupata kile ambacho tunatarajia.

Huwa naamini mtu jasiri sio yule anayesema ukweli bali ni yule anayekubali ukweli japokuwa unauma.

Sasa siyo ukweli kuwa siku hizi Mbu kahama MMU na huwa anashinda kwenye ule uzi wa Man Utd? Habanduki mle.
 
Last edited by a moderator:
Akhuu tabu ya kuja kuanzishiana thread humu ya nini!!
ahaaa! lol..

nimekukumbuka sasa!

Si tulizungumza kuhusu ile ishu ya JLW tuifanye in real world eenh? hahahahaaaaa!
 
From top to bottom of ur sad story,
Malezi yako yanachangia sana shida na maumivu upatayo. Umefugwa sana ndani, kuishi na watu is an exprience na ni shida kama hauna uzoefu. Kamwe do not expect kuishi maisha ya mahusiano ulivyoishi na baba mama kaka au dada kule nyumbani. Wale ni nduguzo wa damu, u grow with then, playes with them hvy ni rahisi sana ku cope nao, shida ni namna ya kuanza kukubali kuishi na.mtu ulikutana nae ukubwani akiwa na akiki zake na majuzi yake remember yy pia amekua katika makuzi tofauti pengine hata ya uchokoraa.

Elekeza hitaji lako kwa Mungu, hakika milango itafunguliwa kwa ajili yako.

Being pair is real hard.
Pole dada Mungu atakusaidia
 
Leo huyu legs alikuwa kapaka supa glue, ikabidi nisim read tu.

Kuna vitu umeongea ambavyo ni ukweli mtupu, hasa kwa mdada aliyekulia kwenye maisha yenye ratiba almost fixed.

Ukishajitegemea na kuwa kwako, kuna vitu inabidi kujifunza kubadilika, kama.hukuwa social sana inabidi kujifunza. Si lazima kwenda club au bar, lakini kuna jumuia zingine unaweza kujiunga nazo si lazima sababu unahitaji msaada, but just to get to know people.

Hata ukiwa na mme na watoto, still unahitaji kuhusiana na watu. Na si lazima kila siku utoke out ili kuhusiana na watu. Sehemu ya kazi ni sehemu ya kwanza kujifunza kufahamiana na watu. Bado kuna sehemu kama kanisani, kuna vikundi mbalimbali waweza kujiunga navyo just to kill boredom, mwisho wa siku unajikuta umefahamiana na watu.

Kitu cha kwanza huanza na kubadili attitude yako mwenyewe. Na mara kadhaa huhitaji kuwa na marafiki weeengi, hata wakiwa wachache lakini muwe na interest za kufanana.

Suala la kujilinganisha na watu wengine nalo linaweza kuua confidence ya mtu kabisa. Kujifunza kuishi.maisha yako kama yalivyo inasaidia. Nimewahi kuona mdada akiteseka sana kwa kutafuta ndoa kama 'kazi', matokeo yake hakuipata. Huwa nasema ndoa hailazimishwi hata kama uko kwenye mahusiano, haya ni maridhiano ya watu wawili.

Kwani ndiyo wewe expert wa ku-read between the legs?
 
Leo huyu legs alikuwa kapaka supa glue, ikabidi nisim read tu.

Mie nikadhani umehamia kwenye huu mji: Brazilian town populated entirely by gorgeous women makes desperate plea for men | Death and Taxes

Huu mji ulianzishwa na mwanamke mmoja baada ya kutengwa na kanisa kwa kosa la kugegedana.

Sera kuu ya mji ulipoanzishwa ilikuwa ni "no men allowed".

Kwa maana nyingine, reading between the legs was strictly prohibited in the town.

Sasa hali imekuwa mbaya na wanatafuta wanaume wa kuwaoa. Mmoja wao kasema hivi:

"I haven't kissed a man for a long time. We all dream of falling in love and getting married. But we like living here and don't want to have to leave the town to find a husband."

Sasa mleta mada anataka kuolewa lakini hataki kutoka ndani ya nyumba yake kutafuta mume. Matokeo yake ndo haya.
 
Duh finally nimefika mwisho...!

Haya tuendelee.

1. Dinazarde ulikuwa unasema unamjua?

2. watu8 na Tyta vipi hili lipo juu ya uwezo wenu tuhamie PM?

3. gfsonwin, kwanza shikamoo dada! Pili, kunani unalolijua humu?

4. Matola - be a man! mwanaume na mipasho wapi na wapi bro (imenilazimu kuongea kwa sababu umemgusa mke wangu mwallu mahali! Cc: C6 )

Mentor wanasema ni kazi sana kumchunga mwanamke.
 
Last edited by a moderator:
Natamani sana nipat mwanamke humu wa kunifanyia ujinga na mimi nionje joto ya jiwe! lol..

If you think that you can try me, just come to pm.....!

Theory nishafaulu....

You want to create some drama uje na thread humu au siyo,ngoja nikusukumie mmoja Kwa PM fasta
 
hahhahha wewe!
i hope hujasahau tu dose ya mgonjwa!
chaaaa!
mine kwan nimelala sasa?
mgonjwa kanikeshehsa anatapika tu na homa haishuki
apa tumetoka kitandan tumehamia kwenye kochi
muombee mwanangu
 
hahahahahaha wallahi sikuwezi mwali!
itabid nikupikie visheti uvipitie af unipe taaarifa kamili!

mwali tena mlaji wa visheti anaumwa ile mbaya yaani
labda ukimpikia homa itamwacha
 
Mmmmmmmmmmmh! How old are you? Jaribu ku face your ghosts uwe mtu wa bata refu, tafuta mashosti wa kukutia shoti na kuzurura nao, your life wil change for good! Utamingle na watu balaa, utakula vya watu mpaka usaze! Hizi online staff ni complicated hata real life pia coz wanaumethese days sound nyingi sanaa na ufekerooo! But nina matumaini utapata mtu unaedeserve!
For sure same ideas.Jitoetoe out mara kwa mara kwa msichana huwezi kukosa real man sasa unavojifungia ndani watakuonaje jamani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom