de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 11,247
- 22,335
According to the laws of attraction, we are what we think.
Sio hapo tu, we subconsciously become who we believe to be so. Wengi tunaishi maisha tusiyo yataka kwasababu that's what we resist consciously but believe subconsciously.
Maskini ni maskini kwa sababu anabelieve kuwa yeye ni maskini at his or her core. Ukizaliwa mazingira yenye umaskini kuna likelihood kubwa ya wewe kuwa maskini kwa sababu Uta adapt tabia za kimaskini.
Na kama tujuavyo behavior are built by repetition and not intelligence thus, hata usome vipi bado kuna zile elements mama ambazo zitatawala maisha yako bila ya wewe kujua na Uta attract people, places and things ambazo zita reflect core beliefs zako ambazo ziko embedded in the subconscious mind.
OK, hiyo ilikuwa intro, Twende kwenye mada.
Kumekuwa na kasumba kubwa sana ya watu hasa wanaume kulia lia baada ya kupigwa matukio na we za wao. Unakuta mwanaume anasema alidhani kapata kumbe alipatikana. Ya kuwa mwanamke aliyedhani anafaa kamcheat, au kabadilika na kuwa toxic.
Niwaambie tu, ukweli ya kuwa the universe gives what you deserve and not what you want. If you're a cheater utachapiwa pia...
Ukiangalia hata kwenye jamii watu wenye wake walotulia ni wale ambao na wao wametulia. Huwezi kuta mke wa mtu anayejielewa anaruka ruka mtaani. Ni nadra sana na hata ikitokea sio coincidence. Kuna namna tu huyo jamaa ana act kinamna fulani ila Kuna vitu vya ovyo anafanya.
If you really want a faithful and loyal partner inabidi ianzie kwako.
Are you seeing yourself as loyal to yourself first? Do you live your words?
The energy never lies.
angalieni couples maarufu duniani ambazo zime sustain! Unakuta kabisa mwanaume ambaye ndo leader anakuwa mtu asiye na drama. Kama ni mwajiriwa kazini hana mazoea ya kidwanzi, ni mtu anayemwongelea mke wake na familia yake. Ni mtu asiyependa kujumuika na wanaume wapenda chini anaweza kuwa mtu wa starehe ila ni kheri akaifanya na familia yake kuliko mashangingi ya town.
Na hii sio kwamba yeye ni mtakatifu, ila amekuwa kifikra kutambua kuwa starehe iliyo bora na yenye manufaa both kwa ajili ya well being and progress kimaisha ni ile itokayo kwa familia sio watu baki wenye msalaba yao pia.
Hivyo basi wanaume inabidi tuanze sisi wenyewe kujitathmini na kuishi maisha tupendayo we zi wetu wayaishi. Lasivyo vilio na matukio yatabaki kuwa constant.
Ni hayo tu,
Morning wisdom... Day one1
Sio hapo tu, we subconsciously become who we believe to be so. Wengi tunaishi maisha tusiyo yataka kwasababu that's what we resist consciously but believe subconsciously.
Maskini ni maskini kwa sababu anabelieve kuwa yeye ni maskini at his or her core. Ukizaliwa mazingira yenye umaskini kuna likelihood kubwa ya wewe kuwa maskini kwa sababu Uta adapt tabia za kimaskini.
Na kama tujuavyo behavior are built by repetition and not intelligence thus, hata usome vipi bado kuna zile elements mama ambazo zitatawala maisha yako bila ya wewe kujua na Uta attract people, places and things ambazo zita reflect core beliefs zako ambazo ziko embedded in the subconscious mind.
OK, hiyo ilikuwa intro, Twende kwenye mada.
Kumekuwa na kasumba kubwa sana ya watu hasa wanaume kulia lia baada ya kupigwa matukio na we za wao. Unakuta mwanaume anasema alidhani kapata kumbe alipatikana. Ya kuwa mwanamke aliyedhani anafaa kamcheat, au kabadilika na kuwa toxic.
Niwaambie tu, ukweli ya kuwa the universe gives what you deserve and not what you want. If you're a cheater utachapiwa pia...
Ukiangalia hata kwenye jamii watu wenye wake walotulia ni wale ambao na wao wametulia. Huwezi kuta mke wa mtu anayejielewa anaruka ruka mtaani. Ni nadra sana na hata ikitokea sio coincidence. Kuna namna tu huyo jamaa ana act kinamna fulani ila Kuna vitu vya ovyo anafanya.
If you really want a faithful and loyal partner inabidi ianzie kwako.
Are you seeing yourself as loyal to yourself first? Do you live your words?
The energy never lies.
angalieni couples maarufu duniani ambazo zime sustain! Unakuta kabisa mwanaume ambaye ndo leader anakuwa mtu asiye na drama. Kama ni mwajiriwa kazini hana mazoea ya kidwanzi, ni mtu anayemwongelea mke wake na familia yake. Ni mtu asiyependa kujumuika na wanaume wapenda chini anaweza kuwa mtu wa starehe ila ni kheri akaifanya na familia yake kuliko mashangingi ya town.
Na hii sio kwamba yeye ni mtakatifu, ila amekuwa kifikra kutambua kuwa starehe iliyo bora na yenye manufaa both kwa ajili ya well being and progress kimaisha ni ile itokayo kwa familia sio watu baki wenye msalaba yao pia.
Hivyo basi wanaume inabidi tuanze sisi wenyewe kujitathmini na kuishi maisha tupendayo we zi wetu wayaishi. Lasivyo vilio na matukio yatabaki kuwa constant.
Ni hayo tu,
Morning wisdom... Day one1