zimwimtu
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 1,988
- 1,097
hapo kwenye red, utakuja kumbuka umri ushaenda. utatamani kurudisha muda nyuma uwakubalie lakin itakuwa ushachelewa., yaan nakuonaga wife material lakin leo masai dada nimekuzidisha na sifuri (masai dada X 0 = 0)yaaani hii story imefanya usingiz wangu wotee umekatika
uhusiano si NDOA jamani ni kuridhiana usiseme i will learn to love..you deserve to love b4 the journey
weka key point zako kama mtu hana MUACHE MARA MOJA
kutamkiwa ndoa si kigezo jamani ndoa ni sherehe tu ili kiridhisha watu maana wengi hulenga harusi issue ni nyie wawil ndani
alafu hivi unawezaje kumueka mwanaume ndani unamlisha?????MAMA AISEE UKIMPATA anaekupenda na ukampenda utadumu kwenye ndoa maana moyo unao
Last edited by a moderator: