Naona umeniita lolest
Mabwaku....
Ukubwa wake nn lol
yaani nimecheka sana kuhusu hii post yako
uwiii kumbe nyie wote mlikuwa humu bila objectives?
Si ya huyo anayetajwa ma madame Gfsonwin!!
Naamini dalaber kaongea kweli la sivyo asingemtaja yule anayetafuta shemale
kaa chini ufikiri mdogo wangu
fekeloo tuu
umepata mtafu sasa?Objective yangu ni kujua yaliyomo, ila nilivyokuona tu nikasema nikomae na wewe mguu kwa mguu. Ukitoa mguu mi nipo kuangalia umegundua nini.
Ukishaona hujajiandaa pepa na uko jirani na kipanga sio mbaya kuchungulia, ukizidiwa unamwambia afunue kidogo uone kaandika nini labda utapata wazo.
Ujue hata mie naconect dots ila kuna mahali naambiwa loading...error
Napita2
umepata mtafu sasa?
yataka moyo ujue kumpa mwenzio aigilizie??
raha ya stori kuwajua wahusika
I will come back kuisoma vizuri maana nilikua sielewi which is which
ushukuriwe ulienipa mwangaza
af wewe uschoelewa kitu gani sasa?Hili sakata limenitoa chali kabisa, kila nikiunganisha wapi! Saa hizi nimesubiri tu liwalo na liwe.
af wewe uschoelewa kitu gani sasa?
unaniudhi ujue.............
eb jiongeze kidogo bhanaaa
i miss uuuuuuu