Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
kaka yangu angalia usitegeke kwenye kandoano ka kuvua tudagaa
ohooo.....................

asante sista, sijasoma comments zote naona uzi umeishaenda mbali kweli, vipi ni magumashi nini?
 
asante sista, sijasoma comments zote naona uzi umeishaenda mbali kweli, vipi ni magumashi nini?
my lovely brodah..............wala usisumbue akili yako
ni sawa na umbo lichorwalo kwa bikari waweza kulipatia engo wewe?
 
Wanaume wa kwenye mtandao watakusumbu..jifunze kua social then muombe Mungu akupe mme bora sio bora mume..usikate tamaa hayo ni mapito tu...
 
kuna watu wana mpaka id za kike na kiume na wanajitongoza wenyewe humu....unafikiri utani but very true

Wacha Kumtania Bujibuji hujui anauguza vidonda vya kucharangwa mapanga bar alipokuwa anagombea kiti moto...na GiLesi
 
Last edited by a moderator:
At least wale mashabibi wa uzi wa Man Utd watapumua jamani.

Maana wale magwiji wa MMU walihamia kwenye ule uzi tokea mwishoni mwa msimu iliyopita.

Majanga yamehamia kutoma MU kwenda MMU.

Loh!! EMT Hapa umenichoma ujue???? Hizi ziache kulekule sport hapa ni MMU tu.
 
Last edited by a moderator:
my lovely brodah..............wala usisumbue akili yako
ni sawa na umbo lichorwalo kwa bikari waweza kulipatia engo wewe?

thanks sista kwa kunifumbua macho, ngoja nikalale zangu kabisa!! usiku mwema dada
 
At least wale mashabibi wa uzi wa Man Utd watapumua jamani.

Maana wale magwiji wa MMU walihamia kwenye ule uzi tokea mwishoni mwa msimu iliyopita.

Majanga yamehamia kutoma MU kwenda MMU.

Manchester United unaleta humu Ligi bado Hatujaanza.... ila Mtatupenda tu... mUda ukifika...
 
Pole cn. enyewe mapenzi yana upana wake,,,ila niruhusu nikuulize maswali mawili au matatu hivi?Kwa sasa una umri gani na pili ni wewe ni wa dani gani?ukinijibu nitakupa langu wazo.....ila pole kwa yote alafu inaonekana wewe ni mwelewa cn....
 
hahahaha af eti ni mtu mzima
lkn angalia usije ukajikuta umeingia kwenye mtego wa kumuhurumia mtu manake bandiko 503 can tel you unadeal na mtu wa aina gani.

Siyo kumhurumia bali atakuwa anajifanya mjinga mwenyewe.

I do't care who I'm dealing with, ila yeye hapo alipo na computer/simu yake anaperuzi huu uzi atakuwa anajiona jinsi alivyo mjinga.
 
mambo! afu siku nyingi natakaga nikwambie napenda jina lako! lol..:A S 101:
em nitumie namba yako ya M-pesa fasta nikusemelee kitu..

Sitataka saana kujua sababu za kulipenda jina langu ila tu naomba nikushukuru kwa hilo.

BTW; Shwari tu habari ya wewe?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom