Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
nilipaona hapa mapema tu mamii, sasa nikaona tena na thread ya zinc ikisema kuna mdada atakuja kujitetea kwamba katiwa mimba na yeye, nikawa nafuatilia zote mbili bila kusema chochote!...

upo lakini?
tumboo nakuona!

Mzima weye??? Naona jamaa ana image id yang na ya uyu mleta uzi....
 
Last edited by a moderator:
Asante sana EMT kwa kumweleza mwenzetu ukweli,si peke yake tu hilo ni somo kuntu kwa wote.
 
Last edited by a moderator:
Hivi watu kama hawa huwa wanakuwa wako serious na wanachopost au wanapost kwa vile wana computer/simu na internet?

I have no idea, trying to figure out... Haya ni matokeo ya kuinvest kwenye meaninglessness of life...
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kuna mtu alishawahi kuniambia napoteza bundle yangu kuingia JF kila siku bila kugegeda, wao wanagegeda kumbe kweli????.
 
huyu mdada nimemuonea huruma kweli, daah!
 
Nizibue masikio basi jameni dah!!

mambo! afu siku nyingi natakaga nikwambie napenda jina lako! lol..:A S 101:
em nitumie namba yako ya M-pesa fasta nikusemelee kitu..
 
yaaani hii story imefanya usingiz wangu wotee umekatika

uhusiano si NDOA jamani ni kuridhiana usiseme i will learn to love..you deserve to love b4 the journey

weka key point zako kama mtu hana MUACHE MARA MOJA
kutamkiwa ndoa si kigezo jamani ndoa ni sherehe tu ili kiridhisha watu maana wengi hulenga harusi issue ni nyie wawil ndani

alafu hivi unawezaje kumueka mwanaume ndani unamlisha?????MAMA AISEE UKIMPATA anaekupenda na ukampenda utadumu kwenye ndoa maana moyo unao

Usingizi wa Usiku au Mchana??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom