Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
Naanza na hii siipitii mbali wewe ni bwegge jinga kabisa au niweke thread zako hapa ushuhudie upumbavu wako? wenzio wakati tunajiunga JF hatukuivamia kwa pupa, Tumboo akili utumbo.

Haaa dume zima ovyooo ptuuuu embu pita kule unakiherehere ka mkojo wa asubuh mav ww unapenda kuogopwa sasa kwa taarfa yakooo wanaokuogopa haohao sio mimi kujifanya unajua kuongea point ili usifiwe si ukaanzishe jukwaa lakoo.....
 
Naanza na hii siipitii mbali wewe ni bwegge jinga kabisa au niweke thread zako hapa ushuhudie upumbavu wako? wenzio wakati tunajiunga JF hatukuivamia kwa pupa, Tumboo akili utumbo.

Kama ukuivamia kwa pupa mi nikusaidiaje mtu mwenyewe mav matupu wewe....dume zimaaaaaa au nmekuchukulia bwanaako...na sio buree ww utakua unafi.rw.a maana wanaume wanaogeuzwa wanamatatizo sanaa
 
Umenuna? dawa ya kichefu ni ndimu au kama umechukia fanya hivi;

Kwakuwa wewe ni mshamba wa Moro chukuwa shuka na mto wako kisha nenda katandike kwenye barabara ya kwenda Dodoma lala hapo.

Bora mie mshambaa wee dumee zima unageuzwa......vua nguo ubak na mashine zakoo znazoning'inia ka limi la mbwa mwenye ham semitrela likupitie shoga ww
 
Bora mie mshambaa wee dumee zima unageuzwa......vua nguo ubak na mashine zakoo znazoning'inia ka limi la mbwa mwenye ham semitrela likupitie shoga ww

Zinc amekushtakia huku
 
Mimi sio mgeni hapa JF ila nimeamua kuja na ID nyingine coz mhusika wa story hii anajua ID yangu nyingine.

Mimi ni mke, lonely heart , ila sasa nimepata mtu hapahapa JF. Kwa muda nimekuwa nikitamani sana kuwa mwenzi seriously, sio mtu wa kula nae ujana tu, kupotezeana muda, no seriously kuanzisha familia, dad, mom, ndani ya ndoa iliyobarikiwa kabisa, inapendeza sana jamani, asikudanganye mtu.

Mara nyingi nikiona couples na watoto wao nafurahi ila roho inauma pia coz na mimi natamani kuwa na wangu. Kusoma nimesoma weee, kazi nimefanya weeee sasa ni wakati wa kuwa na familia but nothing happens, sasa nifanyeje coz kwa mke ni ngumu kumwambia mme nakupenda au nioe hata kama unampenda.

Maisha yangu mie ni monotonous kazi - home - kazi - church- kazi - safari ya kikazi and all that, no social life at all, niko mbali sana na home and jinsi nilivyolelewa sikufundishwa kwenda kwenda kwa watu hovyo hovyo yani umetoka kazini hodi jirani blah blah, hodi hapa yidi yada yidi, no, nilivyolelewa mimi routine ilikuwa home - shule - home - church/ mafundisho etc.

Hakuna kucheza nje, so sijajifunza ku socialize na watu, ukiniweka kwenye group la watu drinking whatever they drink and talk loudly, I wouldn't know what to say, sana sana nitakuwa very bored or I would be very very boring coz nitakuwa mkimya sana then ntaanza kuwaghasi friends it's getting late, tuondoke, tuondoke, so my solution is stay at home, only that my home is empty, hata house girl halali hapo.

So accidentally and out of complete boredom nika join JF, siku hiyo nakumbuka nilikuwa nasubiri updates za matokeo ya uchaguzi wa 2010 and all the TV stations hazikuwa zinaniridhisha na matokeo waliyokuwa wakitoa, umeme nao ulikuwa hovyo sana, nika google matokeo ya uchaguzi and eventually I was led to JF.

Mwanzo nilikuwaga nasoma habari za siasa tu then one day kuna tangazo la mtu kutafuta mke likanivutia, nikaanza mawasiliano nae. daaaaahh, majanga. Ile tunakutana for the first time akatangaza kupeleka posa home, desperation y
 
Duh finally nimefika mwisho...!

Haya tuendelee.

1. Dinazarde ulikuwa unasema unamjua?

2. watu8 na Tyta vipi hili lipo juu ya uwezo wenu tuhamie PM?

3. gfsonwin, kwanza shikamoo dada! Pili, kunani unalolijua humu?

4. Matola - be a man! mwanaume na mipasho wapi na wapi bro (imenilazimu kuongea kwa sababu umemgusa mke wangu mwallu mahali! Cc: C6 )
 
Last edited by a moderator:
Lara sikuizi ni kujiongeza tu mtu akikutongoza unamwambia mie elimu darasa la saba na kazi sina au unataja kazi ambayo ataidharau lazima atoke nduki yaani kuna wanume wanapenda jamani free p duuh bora ubaki single na kuwaumiza wao tu
 
duh finally nimefika mwisho...!

Haya tuendelee.

1. dinazarde ulikuwa unasema unamjua?

2. watu8 na tyta vipi hili lipo juu ya uwezo wenu tuhamie pm?

3. gfsonwin, kwanza shikamoo dada! Pili, kunani unalolijua humu?

4. matola - be a man! Mwanaume na mipasho wapi na wapi bro (imenilazimu kuongea kwa sababu umemgusa mke wangu mwallu mahali! Cc: c6 )

huyu mtu anapost moja tu...ni ngumu kumuhukumu...
 
Usinichoke, kusanya hizi Id zinazomponda huyu dada halafu baadae tutafanya interrogation,
Cc diwan
mimi nipo hapa Hill Park nakunywa juice ya Sharbat

GAUTAMA mbona hueleweki? Hill Park ndo wapi mi mkulima bwana nieleweshe.
 
Duh finally nimefika mwisho...!

Haya tuendelee.

1. Dinazarde ulikuwa unasema unamjua?

2. watu8 na Tyta vipi hili lipo juu ya uwezo wenu tuhamie PM?

3. gfsonwin, kwanza shikamoo dada! Pili, kunani unalolijua humu?

4. Matola - be a man! mwanaume na mipasho wapi na wapi bro (imenilazimu kuongea kwa sababu umemgusa mke wangu mwallu mahali! Cc: C6 )

mdogo wangu mie mzima ila tu uncles wako wanagonjoka so niko home since jana.
hili saga wee liache tu mie nalijua ntakusimulia baadae
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom