Vitoto vya 2000 michosho sana

Vitoto vya 2000 michosho sana

majam19

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2024
Posts
1,710
Reaction score
1,967
poleni na majukumu

Kuna dada tulikuwa na mazoea kias tu uwa tunawsiliana vyema Sasa Leo halikuwa na shida na bidhaa Fulani akaniomba kuwa nkielekea maneno ya mjini nmchukulie

Kweli join nkatoka home nikawasha pikipik yangu (tvs) mpaka maneno ya sokoni nkabeba mahitaji yangu Kisha nkampigia simu kumuuliza kuhusu aina ya bidhaa anayoitaka

Bas nkamchukulia Kisha nkawa narudi home baada ya kumpelekea Ile bidhaa akaanza kuikataa na kusema hajaridhikanayo mim Kwa u pole nikamwambia sawa nmekuelewa Kisha nikaichukua Ile bidhaa mpaka home

Baada ya kufika home nikajiuliza yule binti ananichukuliaje na jinsi mafuta yamepanda Bei hiv then amenisumbua kiasi hiki au anajiona mzuri sana na anauwezo wa kumuendesha kila mwanaume nkapata jibu la kumpigia simu

Nlichomwambia ni Kwa lugha ya upole tuuh asma akaitaka abeeh Kisha nikamwambia afute namba yangu na asijewahi kunitafuta Tena baada ya hapo nikamblock Kisha nkaifuta namba yake
Watoto wa 2000 muache kujifanya majinoooh

Sio kila mwanaume ana interest ya mapenzi na kupelekeshwa
 
poleni na majukumu

Kuna dada tulikuwa na mazoea kias tu uwa tunawsiliana vyema Sasa Leo halikuwa na shida na bidhaa Fulani akaniomba kuwa nkielekea maneno ya mjini nmchukulie

Kweli join nkatoka home nikawasha pikipik yangu (tvs) mpaka maneno ya sokoni nkabeba mahitaji yangu Kisha nkampigia simu kumuuliza kuhusu aina ya bidhaa anayoitaka

Bas nkamchukulia Kisha nkawa narudi home baada ya kumpelekea Ile bidhaa akaanza kuikataa na kusema hajaridhikanayo mim Kwa u pole nikamwambia sawa nmekuelewa Kisha nikaichukua Ile bidhaa mpaka home

Baada ya kufika home nikajiuliza yule binti ananichukuliaje na jinsi mafuta yamepanda Bei hiv then amenisumbua kiasi hiki au anajiona mzuri sana na anauwezo wa kumuendesha kila mwanaume nkapata jibu la kumpigia simu

Nlichomwambia ni Kwa lugha ya upole tuuh asma akaitaka abeeh Kisha nikamwambia afute namba yangu na asijewahi kunitafuta Tena baada ya hapo nikamblock Kisha nkaifuta namba yake
Watoto wa 2000 muache kujifanya majinoooh

Sio kila mwanaume ana interest ya mapenzi na kupelekeshwa
Mpaka hapo kashakupelekesha tayari, na kesho akikupigia utalainika tu
 
poleni na majukumu

Kuna dada tulikuwa na mazoea kias tu uwa tunawsiliana vyema Sasa Leo halikuwa na shida na bidhaa Fulani akaniomba kuwa nkielekea maneno ya mjini nmchukulie

Kweli join nkatoka home nikawasha pikipik yangu (tvs) mpaka maneno ya sokoni nkabeba mahitaji yangu Kisha nkampigia simu kumuuliza kuhusu aina ya bidhaa anayoitaka

Bas nkamchukulia Kisha nkawa narudi home baada ya kumpelekea Ile bidhaa akaanza kuikataa na kusema hajaridhikanayo mim Kwa u pole nikamwambia sawa nmekuelewa Kisha nikaichukua Ile bidhaa mpaka home

Baada ya kufika home nikajiuliza yule binti ananichukuliaje na jinsi mafuta yamepanda Bei hiv then amenisumbua kiasi hiki au anajiona mzuri sana na anauwezo wa kumuendesha kila mwanaume nkapata jibu la kumpigia simu

Nlichomwambia ni Kwa lugha ya upole tuuh asma akaitaka abeeh Kisha nikamwambia afute namba yangu na asijewahi kunitafuta Tena baada ya hapo nikamblock Kisha nkaifuta namba yake
Watoto wa 2000 muache kujifanya majinoooh

Sio kila mwanaume ana interest ya mapenzi na kupelekeshwa
Mnafungua lini shule
 
sasa kama mtu hajapenda kitu asiseme? habari za mafuta kupanda bei zinatoka wapi wakati na wew ulienda kwa issue zako, labda ungesema mda uloutumia kutafuta hicho kitu

all in all mwanaume hasusi
Nope unatetea Kwa vile wee ni mwanamke mwenzio but situation ilivyokuwa hata wew ungeona unajipa umuhimu kweny mambo ambayo hayataki umuhimu kila mmoja afanye mambo yake tu kiufupi nmekuwa too much board 😡😡😡😠😠😠
 
Itoshe kusema mdogo wetu una GUBU.

Sijaona sababu ya msingi iliyopelekea wewe kumtafuta na kumwambia maneno kama hayo, ili hali hakukulazimisha bali ulifanya kwa kupenda kabisa.
 
Back
Top Bottom