Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,808
- 110,046
tumboo said:Ushaur: achana na wanaume wa mitandaoni kama unashida yakumalza hamu za kimwili ndio utafte humu jf
Aisee!!!
tumboo said:Ushaur: achana na wanaume wa mitandaoni kama unashida yakumalza hamu za kimwili ndio utafte humu jf
meona eeeeeh
Unajuwa wewe binti huna akili unaandika pumba tupu, kwahiyo sisi wanaume ambao tupo JF tunatoka kwa shetani? Tumboo akili utumbo.
Mmhhh....bro we mkali mnoo
ooooh!!! sijamwambia....kama vipi mwambie weye
kamzidi huyo wa miaka 44?
Pole sanaaa ila sijui kwanini nashindwa kukuelewa??
Kwa style yake hata kanisani watamla na kumdanganya tu...Mamy mie nakushauri achana na wanaume wa humu ndani kama kweli una kiu ya kuolewa na kumpata wako wa milele ,do this Piga goti lako na umlilie mungu akupe mme mwema ,anza kwenda kanisani unaweza kutana nae huko ,Popote pale mungu atakupa wako
Mungu atakutana na hitaji la moyo wako ukiomba kwa roho na kweli
Wanaume wengine jamani looh
Hajamzidi ....hajamfikia kwanza
Ila matola michango yake inaonyesha ni mkali mkali hivi
kuna watu wana mpaka id za kike na kiume na wanajitongoza wenyewe humu....unafikiri utani but very true
Unajuwa wewe binti huna akili unaandika pumba tupu, kwahiyo sisi wanaume ambao tupo JF tunatoka kwa shetani? Tumboo akili utumbo.
Kwahiyo wewe ulidhani mimi ni zezeta? mtu anakuja kuongea pumba zake hapa wewe unatalajia tumgongee like button kwa kuandika pumba?