Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
free p alafu unaombwa tena hela looooh kuna watu wana moyo

yaani mimi mvulana anaiambie tu nipunguzie vocha nipo sehem siwez kupata nitamuuliza maswali hatorudia

ila hili ni tatizo la kuingia kwenye uhusiano na mtu asiekua na muelekeo
dah kweli we kiboko, yaan huwez mfanyia mpenz wako jambo dogo namna hiyo!!!, we hufai kuwa mke kabisa. imagine, nakupa kila ukitakacho, kodi ya nyumba, hela ya salun kila wiki unapata, mizawazi kibao, shoping za kila mara, kweli nimekwama sehemu nakuomba vocha tu unakataa!!!!,

hakiyamama mie kama we mpenz wangu nakutema siku hiyo hiyo.., maana huwez kuwa mama bora. utawalaza njaa watoto una hela kwenye pochi, eti kisa mchele umeisha na baba hajanunua.
 
leo nimeamua kudevote muda wangu kwenye hizi nyuzi mbili
ukichunguza wachangiaji kuna ambao wana collide sijui ni makusudi ama ni bahati mbaya
lkn pia wachangiaji kwenye kusapoti uzi wa dalaber na wa zinc ni walewale na wakosaji ni walewale af kuna id 7 ambazo hizo kwa dalaber zimenanga sana na kw a@zinc zimesapoti sana na hizi zimekuwa common
haihitaj kwenda darasahn kujua kwamba hawa wameamua kutufanyia sherehe tuu


Hivi teacher bado unaichukulia JF ya sasa kama ile ya kwetu?
 
dah kweli we kiboko, yaan huwez mfanyia mpenz wako jambo dogo namna hiyo!!!, we hufai kuwa mke kabisa. imagine, nakupa kila ukitakacho, kodi ya nyumba, hela ya salun kila wiki unapata, mizawazi kibao, shoping za kila mara, kweli nimekwama sehemu nakuomba vocha tu unakataa!!!!,

hakiyamama mie kama we mpenz wangu nakutema siku hiyo hiyo.., maana huwez kuwa mama bora. utawalaza njaa watoto una hela kwenye pochi, eti kisa mchele umeisha na baba hajanunua.

hujaelewa mtirirko wangu mkuuu
hapa namaanisha ndo ile mnaanza mambo ya uchumba kama mada usika inavyosema mtu akawiii mara vocha mara mpesa sijui nini alafu wewe wa kiume kwa mfano mimi tunasaidiana hicho ni kitu kidogo sana ila ndo ile mzee ndo tunaanza hivi wewe mtoto wa kiume kiukweli ni ngum
 
leo nimeamua kudevote muda wangu kwenye hizi nyuzi mbili
ukichunguza wachangiaji kuna ambao wana collide sijui ni makusudi ama ni bahati mbaya
lkn pia wachangiaji kwenye kusapoti uzi wa dalaber na wa zinc ni walewale na wakosaji ni walewale af kuna id 7 ambazo hizo kwa dalaber zimenanga sana na kw a@zinc zimesapoti sana na hizi zimekuwa common
haihitaj kwenda darasahn kujua kwamba hawa wameamua kutufanyia sherehe tuu
hebu nifupishie hii habari si unajua memory imepungua!
 
Last edited by a moderator:
leo nimeamua kudevote muda wangu kwenye hizi nyuzi mbili
ukichunguza wachangiaji kuna ambao wana collide sijui ni makusudi ama ni bahati mbaya
lkn pia wachangiaji kwenye kusapoti uzi wa dalaber na wa zinc ni walewale na wakosaji ni walewale af kuna id 7 ambazo hizo kwa dalaber zimenanga sana na kw a@zinc zimesapoti sana na hizi zimekuwa common
haihitaj kwenda darasahn kujua kwamba hawa wameamua kutufanyia sherehe tuu

Niliposoma tu hizi nyuzi mbili niligundua kuna ujinga mkubwa sana unaendelea hapa

Hapa kuna mtu mmoja muongo au wote waongo

Kupoteza muda na mambo ya aina hii ni ujinga zaidi ya ujinga wenyewe .....!!
 
aseee sijui hata cha kuandika gfsonwin ni nin kinaendelea!
hiz threads una maslahi nazo mwal?
chaaa!
n kiiki?
mwali ngoja nikutoe tongotongo
toka jana nauguza kichanga ana malaria so niko home
si nikaona uzi wa mdada anaitwa dalaber nikajisemea nisihangaike nao, ila nikajisemea muda sio mrefu muhusika atakuja kutuambia nini kinachoendelea. na ukweli Molemo sijui akaja nikaona utamu wa hali halisi.
huku na kule masaa kama kumi hivi zinc akaweka uzi wake kwamba tusimpe msaada mwadada atakaye kuja kulalama hapa
nilipo msimamisha mtu kibla si akasema ukweli? sasa nifanyeje tena mie mtoto ana malaria, pakupunguzi stress ni hapa
jamani jaman sijakaa sawa jamaa kumbe kanyang'anya mtu demu wake naskia anataka kuchimbiwa kaburi akiawa hai mie simooo.
 
Last edited by a moderator:
Hivi teacher bado unaichukulia JF ya sasa kama ile ya kwetu?

hivi babu unajua kuacha kazi ili ufanye kazi ndo nilichokifanya leo...........
yaani nianika hapa nilichokipata kwenye uchunguzi wangu watu watanichapa bureee
ngoja nikae kimya tuu ila leo nimecheka sana
af cha ajabu zaid watu wamejilenga wenyewe mtegoni chezeya akili ya ticha weewe
 
hahhahhha zamani nilikuwa nikikosa jf kwa masaa naumwa!
sa hiz naeza nisahau kuingia hata wiki mbili!
nashangaa kolig bado ana nguvu ya kukusanya mawazo kiasi hiki!


Wewe kajipunzikie tu....Hicho kibarua chako kinakutosha mwenyewe.....

Ila ukweli tumepigwa bao....Labda wakubwa wafanye mapinduzi ili tupate walau nusu ya ile JF yetu!!
 
hivi babu unajua kuacha kazi ili ufanye kazi ndo nilichokifanya leo...........
yaani nianika hapa nilichokipata kwenye uchunguzi wangu watu watanichapa bureee
ngoja nikae kimya tuu ila leo nimecheka sana
af cha ajabu zaid watu wamejilenga wenyewe mtegoni chezeya akili ya ticha weewe


Safi sana teacher...nitakutafuta unipe muhtasari!
 
hivi babu unajua kuacha kazi ili ufanye kazi ndo nilichokifanya leo...........
yaani nianika hapa nilichokipata kwenye uchunguzi wangu watu watanichapa bureee
ngoja nikae kimya tuu ila leo nimecheka sana
af cha ajabu zaid watu wamejilenga wenyewe mtegoni chezeya akili ya ticha weewe

Hahahaaaaa .....

Hebu ninong'oneze banaaaaaa!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom