Tetesi: Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?

Vijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.
Wewe ndio hujasoma vizuri katiba ya tanzania. nafasi ya spika inaweza kugombewa na mtanzania yeyote yule ila awe na chama kinachomdhamini. ndio maana marehemu Samwel Sitta aligombea uspika japokuwa alishastaafu ubunge, pia mabere marando aligombea kwa tiketi ya chadema
 
Tanzania huitaji kuwa mwerevu ili uongoze.hata ukiwa mbuzi waweza ongoza na ukavuma
 
Anafaa..katumia bunge kubwa afrika...ana uwezo na experience ya kutosha.

#MaendeleoHayanaChama
Experience ya huko huwezi kunitumia hapa bunge la Dodoma. Mazingira tofauti, siasa tofauti hata wabunge wenyewe tofauti. Huku kuna Dr Msukuma, Bulaya, Gwaji boy, Kibajaji nk.
 
Kuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hii imekaaje wadau?
Hafai hata kuwa kiongozi wa waganga wa kienyeji! Na jina lake litakatwa haraka sana kwenye mchujo watakaofanya akina Mangula na Chongolo!
 
Wewe ndio hujasoma vizuri katiba ya tanzania. nafasi ya spika inaweza kugombewa na mtanzania yeyote yule ila awe na chama kinachomdhamini. ndio maana marehemu Samwel Sitta aligombea uspika japokuwa alishastaafu ubunge, pia mabere marando aligombea kwa tiketi ya chadema
Sitta aligombea Uspika akiwa mbunge wa Urambo! Alikuwa hajastaafu Ubunge!
 
Kimsingi haijalishi nani anayewekwa (kisifa au kutokuwa na sifa) bado atakuwa ni KIBARAKA wa Magogoni!
 
Vijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.
Mkuu unaweza muwa Spika bila kuwa mbunge wa kuchaguliwa
 
Vijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.
Kasome Katiba vizuri mkuu na kanuni za Bunge...Spika wa Bunge sio lazma awe mbunge mtu yoyote mwenye sifa za kua mbunge anaweza kugombea Uspika na akipita anakura kiapo cha ubunge ingawa lazma awe mwanachama .Ni Naibu Spika tu anae takiwa kua Mbunge kwanza
 
Vijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.
Ulivyo andika kama msomi kumbe mbumbumbu tu, wakat mwaka majuzi waligombea Hadi kina hashimu rungwe sipunda na hawakuwa wabunge wala nini?

Sifa ya kugombea u spika n uwe na sifa za kuwa mbunge (kusoma na kuandika ) hakuna sifa ya maana ni upuanguani tu
 
Kuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hii imekaaje wadau?
Uspika hautaki vijana, anatakiwa mtu aliyepitapita maeneo mengi akumbana na changamoto nying, akajenga busara na hekima ya kutosha. Baada ya hiyo kashikashi, bunge lipate mzee wa busara ila siyo mzee wa busara wa Juma Nature na Inspector Harun.
 
Vijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.
Huyo ni Waziri Mkuu siyo Spika!! Jielimisheni! Elimu ta uraia ifundishwe ngumbaru.
 
Vijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.
Vijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.
Hapana sio kwelii. Mtu yeyote provided kwamba amedhaminiwa na Chama cha siasa kilichosajiliwa rasmi, ana sifs za kugombea nafasi ya SPEAKER WA BUNGE. Sio lazima atokee jimboni
 
Vijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.


Ni mwanachama yoyote wa Ccm anaweza kuchukua form ya kugombea Kua Speaker

Kwa binafsi yangu Masele anafaa ni kijana mtiifu sana mwenye uzoefu mkubwa wa kimataifa na hasie na makuu

Kwa Kua Mama samia ni modern woman na wasaidizi wake na wao wangekua wa kisasa kama yeye mwenyewe Nchi ingesonga kimataifa zaidi
 
Back
Top Bottom