Tipstipstor
JF-Expert Member
- Nov 29, 2021
- 1,531
- 3,331
Kuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hii imekaaje wadau?
Hii imekaaje wadau?
Kwa hyo tukusaidie nini hapoKuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Hii imekaaje wadau?
Vijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.sioni ni afya kutafuta maadui wa Ndugai kwenye hiyo nafasi. Apewe mtu muwajibikaji, mtenda haki na sheria.
Hata wewe inaonekana hujaisoma katiba kuhusu upatikanaji Wa speaker!Vijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.
Ujuaji wa kindezi huu. Haya, soma hapo. Hata wewe kwa kuwa unajua kusoma na kuandika, una sifa za kuwa Mbunge wa JMT na hivyo kuwa speakerVijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.
Wewe ndio huijui katiba . Usikurupuke kujifanya unaijua .. Adam Mkwawa na PIUS Msekwa unaweza kuniambia walikuwa wabunge wa majimbo gani??Vijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.
Mbona mnahangaika na Tetesi kwani hamuwezi kusubiri? Nyie ndio mnawachafulia Watu Bahati zaoKuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Hii imekaaje wadau?
Huyu Maselle, hafahamiki sana uwezo wake kwa siasa za ndani. Kwa nini wasimpe tu Bwana Zungu?Imekaa vibaya
.... daaah! wewe ndio ukasome Katiba! Mabere Marando alipogombea uspika 2015 alikuwa mbunge wa kuchaguliwa? Hili taifa lina vilaza sana ndio maana wanasiasa wanalichezea sana.Vijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.
Vijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.
Hata km akiwa Msukuma fresh tu,sisi watu wa chini haitusaidii sana, maana tusipokomaa kivyetu vyetu hatuwezi kula.Kuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Hii imekaaje wadau?
TumuombeeKuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Hii imekaaje wadau?