Highness Hussein
Member
- Aug 13, 2018
- 6
- 1
😂😂😂😂Kwa hyo tukusaidie nini hapo
😂😂😂😂Kwa hyo tukusaidie nini hapo
Zungu ana ujanja gani kumzidi Masele , na ndio tunachokipendea viongozi wakiwa hawana njaa ndogo ndogo wanakua wanatenda HakiMimi naona Zungu ana kila sifa, ni mzoefu, ni Strong Man, na Mwadilifu na Ubabe, Ni mtoto wa Mjini.
Wakati mwingine Ushamba Unawapa shida Hawa Maspika waliotangulia akina Ndungai, na Ugogo,
Lazima ajivue nafasi aliyo nayo sasa ya Naibu speaker then agombee Kua speaker , kivumbi akikosa ?Speaker awe Tulia Ackson Mwansasu
Mna viherehere si atachaguliwa mtu tu kuwa spika that simpleKuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hii imekaaje wadau?
Experience ya huko huwezi kunitumia hapa bunge la Dodoma. Mazingira tofauti, siasa tofauti hata wabunge wenyewe tofauti. Huku kuna Dr Msukuma, Bulaya, Gwaji boy, Kibajaji nk.
Kuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hii imekaaje wadau?
Mkuu Mzee Chayai , unapowashauri watu wasome katiba, ina maana wewe umesoma katiba, ni wapi imeandikwa Spika ni lazima awe mbunge?. Kwa kukusaidia tuu, Spika sio lazima awe mbunge!. Mtu pekee ambaye ni lazima awe mbunge kutoka jimbo Uchaguzi ni Waziri Mkuu.Vijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.
Huyu jamaa ni kichwa sana and bold. Steven Masele atamkwe Shujaa wa Taifa! Ni kweli Balozi wa Uingereza ni Jasusi. To Hell with...!Kuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hii imekaaje wadau?
Naunga mkono hoja.Ni mwanachama yoyote wa Ccm anaweza kuchukua form ya kugombea Kua Speaker
Kwa binafsi yangu Masele anafaa ni kijana mtiifu sana mwenye uzoefu mkubwa wa kimataifa na hasie na makuu
Kwa Kua Mama samia ni modern woman na wasaidizi wake na wao wangekua wa kisasa kama yeye mwenyewe Nchi ingesonga kimataifa zaidi
Huyu ni mmoja wa vijana walokuzwa na mfumo na akaiva, hivyo si mbaya akipewa kuongoza kwa muda maalum.Kuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hii imekaaje wadau?
Kuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hii imekaaje wadau?
Huyo hapati hata kwa kutumia mtalimbo wa punda!
Nimeipenda hii ya kuonyesha.Safi mkuuUjuaji wa kindezi huu. Haya, soma hapo. Hata wewe kwa kuwa unajua kusoma na kuandika, una sifa za kuwa Mbunge wa JMT na hivyo kuwa speaker
View attachment 2071555
Alipangalo Mola huwa ni swala la muda tu.
Tusitukane wakunga na uzazi ungalipo.
Usimchezee Mamba kabla ya kuvuka mto.
Ngoja tuone karata za Maselle atakavyozichanga!